UPOTOSHAJI "WASOMI HAWATAJIRIKI" EBU TUWATAMBUE MATAJIRI WASOMI DEGREE LEVEL
Kwangu mm nauona huu ni upotoshaji mkubwa na wenye madhara kwenye jamii yetu..
Nachojua ni kweli wasio wasomi kwa ujumla ni more risk taker kulinganisha na wasomi lakini hii pekee sio factor ya ku generalise lazima wafaulu kuliko wasomi sio kweli.
Kumbuka pia kuwa wasomi wanazo factor nyingi kuwazidi hao kama maarifa n.k
Mfano 1: Bill Gate alisoma shule zoote na kufaulu kwenda chuo kikuu maarufu zaidi ulimwenguni HARVARD UNIVERSITY na amesoma hapo chuoni 2yrs ndipo aka drop.
SWALI: je huyu ni msomi au sio msomi ni sawa na darasa la saba kweli?
kama ni kutokusoma na kutajirika kwa nini asome secondary, high school na strugle ya kushinda kwenga chuokikuu?
Mfano 2: Steve Jobs na yeye pia ni kama Bill gate alishinda kuingia chuo kikuu cha kwanza Reed College in Portland miezi 6 aka drop, bado akaendelea kutafuta chuo kingine ili kuendelea kuongeza maarifa akaingia De Anza College zaidi two semesters
SWALI: je huyu ni msomi au sio msomi ni sawa na darasa la saba kweli?
Kwa ufupi naomba atleast tuwatambue wasomi matajiri tulionao hapa kwetu na hata nje ya nchi.
1. Dr Reginald Mengi
2. Eng. Ally Mafuruki
3. Dr Mohammed Dewji
4.
Tafadhali ongeza na wa kwako tuendelee kuwatambua matajiri wenye degree
Kwangu mm nauona huu ni upotoshaji mkubwa na wenye madhara kwenye jamii yetu..
Nachojua ni kweli wasio wasomi kwa ujumla ni more risk taker kulinganisha na wasomi lakini hii pekee sio factor ya ku generalise lazima wafaulu kuliko wasomi sio kweli.
Kumbuka pia kuwa wasomi wanazo factor nyingi kuwazidi hao kama maarifa n.k
Mfano 1: Bill Gate alisoma shule zoote na kufaulu kwenda chuo kikuu maarufu zaidi ulimwenguni HARVARD UNIVERSITY na amesoma hapo chuoni 2yrs ndipo aka drop.
SWALI: je huyu ni msomi au sio msomi ni sawa na darasa la saba kweli?
kama ni kutokusoma na kutajirika kwa nini asome secondary, high school na strugle ya kushinda kwenga chuokikuu?
Mfano 2: Steve Jobs na yeye pia ni kama Bill gate alishinda kuingia chuo kikuu cha kwanza Reed College in Portland miezi 6 aka drop, bado akaendelea kutafuta chuo kingine ili kuendelea kuongeza maarifa akaingia De Anza College zaidi two semesters
SWALI: je huyu ni msomi au sio msomi ni sawa na darasa la saba kweli?
Kwa ufupi naomba atleast tuwatambue wasomi matajiri tulionao hapa kwetu na hata nje ya nchi.
1. Dr Reginald Mengi
2. Eng. Ally Mafuruki
3. Dr Mohammed Dewji
4.
Tafadhali ongeza na wa kwako tuendelee kuwatambua matajiri wenye degree