Kuhusu ving'amuzi vya bein sport

Tatito sio king'amuzi cha bali signal za hao bein upatikanaji wake unaitaji dish kubwa lisilopungua 8ft na lnb yenye nguvu. Pili jinsi ya kulipa kwake itakubidi uwe na mtu either nchi za kiarabu au west Africa ili awe anakulipia, tatu huwa hawana malipo ya mwezi ni mwaka hivyo itakubidi decoder na malipo uwe na zaidi ya 500usd ukijumlisha na dish 8ft ni 350,000 +lnb 30,000 ukija na ufundi uwe umejipanga
 
mohamed caple bukoba nimeiona sana soka kupitia channel ya kiarabu na wala hakuna shida
 
Acha kutisha watu, nenda mikoani uone hizo huduma za cable mbona zipo tu na tcra wanawatambua, ambacho kinakatazwa ni hao watoa huduma za cable kuingiza chaneli za Supersport, kama s3, 4,5 na nyingine. Lakini hizo bein, haina shida
 
Mkuu kwa sasa bado naweza nikapata hudumu ya being sports kwa Tanzania naishi Dar?
 
mkuu kwa sasa bado hivi vingamuzi vinapatikana???
 
inategemea na mkoa uliopo kwani kila mkoa kuna mtoa huduma tofauti kwa bukoba ni mohamedi ilikuwa 40,000 zamani ,na kila mwezi nadhani ni 15,000 ila ni burudani kwenda mbele tu hutakwenda ktena kwenye vibanda umiza kuangalia epl wala uefa.
Tatizo la hizi cables nyingi zina chenga na kukatika katika hovyo hovyo tu.

Sasa hivi gharama yake imekuwa ndogo sana wapo waliokuwa wanaunganisha kwa elfu 70-80 ila sasa hivi hadi elfu 25 na malipo ya kila mwezi yameshuka.

Ila kiukweli wanasaidia sana japo wengi ni wezi wanaiba channels za visimbuzi
 
Unawajua Kwesé?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…