huna tofauti na wabunge wa dsm walio2piwa dongo na masaburi.unasahau kuwa hata mbuyu ulianza kama mchicha.tetesi hutengeneza habari kuu.ulitaka ushahidi kwani JF ni mahakama ya kisutu.lolcrap as usual............habari ya tetesi ndio unatuletea hapa jamvin
Sometimes we have TO AGREE TO DISAGREE............. si kila unapopingwa utoe matusi.............. KADODA11 HAPA NA UKOSIWI....huna tofauti na wabunge wa dsm walio2piwa dongo na masaburi.unasahau kuwa hata mbuyu ulianza kama mchicha.tetesi hutengeneza habari kuu.ulitaka ushahidi kwani JF ni mahakama ya kisutu.lol