Kuhusu wafungwa(majambazi sugu) kupelekwa vitani.

Kuhusu wafungwa(majambazi sugu) kupelekwa vitani.

twende kazi

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
1,520
Reaction score
461
Wakuu natumai mpo vema,

Samahani naomba wale mabingwa wa mambo ya kijeshi nakijasusi wanidokeze kidogo kama hapa nchini kwetu tuna utaratibu wa kuwachukuamajambazi katili walenga shabaha maridadi waliotiwa hatiani na kupelekwa katikaoperesheni mbali mbali za kijeshi kusaidia taifa mfano zile za Sudani,Comoro naCongo.

Au hawa viumbe mashababi(wafungwa majambazi) wanakula donala bure tu gerezani?
 
Haiwekani unazani mtu akiweza kutumia silaha/bunduki, anavaa kuwa mwanajeshi? la hasha jeshi ni kitu kingine mkuu. Linahitaji mafunzo maalum, utimimamu wa mwili mbinu za medani ili kuweza kupmbana mtu ambae nae amejiandaa kupambana, ana silaha kama zako ama zaidi. hawa majambazi wanachofanya ni kupambana na watu ambao hawajajiandaa/ kushutukiza hawana ujanja wa kivita.
 
Haiwekani unazani mtu akiweza kutumia silaha/bunduki, anavaa kuwa mwanajeshi? la hasha jeshi ni kitu kingine mkuu. Linahitaji mafunzo maalum, utimimamu wa mwili mbinu za medani ili kuweza kupmbana mtu ambae nae amejiandaa kupambana, ana silaha kama zako ama zaidi. hawa majambazi wanachofanya ni kupambana na watu ambao hawajajiandaa/ kushutukiza hawana ujanja wa kivita.

Halafu jeshi ni nidhamu. Una uhakika hawatawageuka wasimamizi wao.?
 
Hivi hawa watu wakipelekwa huko na kupewa grenade ama AK47,si wataanza na waliowapeleka
 
Back
Top Bottom