Kuhusu Wamasai

Kwani ni nani amewalazimisha wavae hvy kama ulivyosema?
 
Kwani wanaovaa hivyo wamelazimishwa?.


Hawajalazimishwa bali wanadanganywa na kutumiwa, utasikia jamani wamasai wanapendeza yaani wanadumisha mila lkn wewe unayesema hivyo ukiambiwa uvae kama Mmasai hautaki na siku ukimuona mtoto wako kavaa hivyo huwezi hata kukubali atoke nyuimbani!
 
Unamaanisha nini mtoa mada kwamba Lowasa na familia yake hawavai mavazi ya kimaasai

 
Unamaanisha nini mtoa mada kwamba Lowasa na familia yake hawavai mavazi ya kimaasai



Na hicho ndicho ninachomaanisha kwamba wanavaa lkn kwa ajili ya show tu na siyo maisha yao ya kila siku na familia zao lkn wanawaambia Wamasai wengine masikini wavae kila siku kila mahali ili wadumishe utamaduni mbona wao hawavai hayo mashuka kila siku kama hiyo mila ni nzuri hivyo???!
 
Huu ni uchokozi na dharau kwa ndugu zetu wa kimasai .... Endelea tu maaana utapata unachokitafuta.
 
Mtoa mada inaonekana hujatembea kwenye vijiji vya nchi yako sio wamasai tuu wanaovyaa kimila bado kuna makabila mengi yanayofuata tamaduni zao.
 
utalii utafariki, acha wavae, wasiende SHULE wawe wanatembeza mikanda, viatu, urembo kitaa.
 
utalii utafariki, acha wavae, wasiende SHULE wawe wanatembeza mikanda, viatu, urembo kitaa.


Hilo sawa lkn swali ni kwamba ni kwa nini Wamasai masikini tu ndiyo wadumishe Mila na Tamaduni?? Kwa nini wale Matajiri na wanasiasa wao pmj na watoto wao hawadumishi hizo Mila kama ni muhimu hivyo??
 
Hivi unawazaga nini ?? Sio wewe juzi hapa unasema sijui Obama nini hana maadili kisa sio mzungu au mwafirka sijui point 5 ,

Mimi masai aisee na sio Magufuli wala yeyote yule atakaye badilisha utamaduni wangu ,shuka navaa ,sime pembeni ,naenda olpul ,naua simba nipewe mke ,nafuga rasta ,napaka lokariya ,nafuga ,mtoto hatairiwi hospital naoa mke zaidi ya moja nk ....
Na lugha nadumisha ,
Utake usitake masai ndio moja ya watu wenye utamaduni wenye nguvu iliyobaki Africa ikiwa ni pamoja na Wazulu na Xhosa

Tabaraki taa ena tasat
 
Tamaduni yenye nguvu iliyobaki Afrika in Mr Ebo voice..R.I.P the legend
 
Kwenye picha sio wamasai hao....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…