nauliza ivi, kna walimu wapya wa shahada amepangw vituo vya kaz na wanasap kwenye masomo yao vip inakuaje wakati wanaripoti? Naomba kujua kwa mwenye ufahamu wa hili.
Hivi supplimentary huwa inafanyika wakati gani baada ya kumaliza mitihani yako ya mwisho chuoni? Umekusudia supp ama carry over? Kama sikosei supp hufanyika ndani ya mwaka husika baada ya semister ya mwisho,wewe umehitimu mwaka gani na ajira umepangwa mwaka gani? Hebu fafanua hapo kidogo i.e supp/carry?
Nimemaliza chuo kikuu udsm ila sijui supp, naomba mnijuze mbona wengine hatukugawiwa hiyo au ndo kw kujuana.
Nimemaliza chuo kikuu udsm ila sijui supp, naomba mnijuze mbona wengine hatukugawiwa hiyo au ndo kw kujuana.