Kuibiwa cmu

elimuplatform

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,054
Reaction score
462
. Hivi imekaaje umeibiwa simu bar baada ya kuwa umezidiwa na kiraji na kusinzia, ila ulienda na kasichana ambacho hukafahamu vizuri, mashuhuda wanasema baada ya kuwa kamekuamsha kakasepa na simu smart kama kukukomoa na kujilipa, Japo wewe uliamshwa na such za mlinzi, sasa je katika situation kama hiyo kuna haja ya kukimbizana na kufunguwa mashtaka na mshukiwa utamtaja yupi, au ni kupotezea tu na kujifunza umakini zaidi siku nyingine, ushauri tafadhali ukizingatia simu ya gharama kidogo
 
HEbu tupishe watu hatuna hela we unalewa mpaka unalala tena Na uliokota Na demu..... Kanunue nyingine Kiongozi
 
Dunia haiko fair. Last week nimepledge kutuma hela mbuzi bush Juma5 ya leo, siku imefika na salio halisomi, mkuu unaleta uzi kama huu! Daah. Hongera zako.
 
Unywaji wa pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako
 
Huwa naomba ushauri kwa niaba ukifatilia mara nyingi siyo ladhima Iwe imenitokea mimi ok so haina haja ya povu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…