Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,090
- 13,511
Siku ya jana niliibiwa pesa ndani ya daladala kiasi cha 350000 yani usiku mzima nimekosa usingizi. Hapa nilipo kichwa kinauma hatari 😭😭
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu yani hapa napiga hesabu za kutoboa hadi mwezi wa 3 zinagoma mkuuPole
Jipange upya
Asante mkuu ila huu mwezi ntaishi kwa tabu maana kila naempigia anarukaPole sana Mkuu. Jitahidi kusahau na usonge mbele. Utatengeneza nyingi zaidi soon.
Asante sana kakaPole sana mkuu
Asante kwa ushauri wako mkuuPole sana mkuu, ukiwa unahela nyingi mfukoni, usipende kusimama kwenye daladala( tafuta siti ukae)
Ata haina haja maana pesa ya kumpa mganga sinaPole Mkuu,
nipigie kuna mganga konki namjua,unawatapisha note zako zote😁
Sawa mkuuUkipoteza kidogo basi jiandae kupokea kikubwa
Pole mkuu umenikumbusha nilivyopigwa na tapeli wa jf kipindi najiunga humu niliumia mana sikutegemea jambo lileSiku ya jana niliibiwa pesa ndani ya daladala kiasi cha 350000 yani usiku mzima nimekosa usingizi. Hapa nilipo kichwa kinauma hatari 😭😭
Hautakufa, utatoboa tu...ukitulia wazo jipya litakujiaAsante mkuu yani hapa napiga hesabu za kutoboa hadi mwezi wa 3 zinagoma mkuu
Pole sana mkuu 350k ni ndogo sana kweenye 350 million weka namba tukuchangie chap muamala usome umeingizwa 350,000/= kutoka kwa zerominus10Siku ya jana niliibiwa pesa ndani ya daladala kiasi cha 350000 yani usiku mzima nimekosa usingizi. Hapa nilipo kichwa kinauma hatari 😭😭
Weka namba tukuingize muamala huo unafeli wapi?Asante mkuu yani hapa napiga hesabu za kutoboa hadi mwezi wa 3 zinagoma mkuu
Pole mkuu, nilipigwa 1.2 (pesa mingi) mwaka 98 za boss ilikua nimpe mchana.Siku ya jana niliibiwa pesa ndani ya daladala kiasi cha 350000 yani usiku mzima nimekosa usingizi. Hapa nilipo kichwa kinauma hatari 😭😭