Pole.Ilo wazo sikua nalo mkuu
Mm nikikuta wanapiga mwizi nakimbia shell haraka kununua mafuta tumalize kesi mapema kabla poliCCM hawajafika.Mkuu siku nikikuta wanapiga mwizi naweza kuua kabisa
Toka kuzaliwa ndo mara ya kwanza kuibiwa mkuuMm nikikuta wanapiga mwizi nakimbia shell haraka kununua mafuta tumalize kesi mapema kabla poliCCM hawajafika.
Asante sana mamyPole.
Asante sana mkuupole mkuu!
Nami unitag chautunduTrudie mambo!
Usisahau kunitag ile ishu
Nishaweka mkuuWeka namba tukuchangie hata buku buku
ShukraniPole
Mungu akupe wepesi
Mkuu hii ndo mara ya kwanza kuibiwa na uwa niko makini sana ila jana walinioteaSasa hata akichangiwa,si anaweza kurudia tena kosa lile lile? Ataenda tena kuzitoa hela zote kisha apande Daladala ziibiwe tena,
Lazima tu solve tatizo kwanza.
Weka namba tukuchangie hat
Hivi mtu unaibiwaje pesa ? Lqbdq udondoshe mwenyewe ila kuibiwa?Siku ya jana niliibiwa pesa ndani ya daladala kiasi cha 350000 yani usiku mzima nimekosa usingizi. Hapa nilipo kichwa kinauma hatari ππ
Mimi ningekesha nazitafuta njia kwa njia kote nilipopita.Siku ya jana niliibiwa pesa ndani ya daladala kiasi cha 350000 yani usiku mzima nimekosa usingizi. Hapa nilipo kichwa kinauma hatari ππ
Pole sana, ungekuwa mwanamke tungekuchangia.Siku ya jana niliibiwa pesa ndani ya daladala kiasi cha 350000 yani usiku mzima nimekosa usingizi. Hapa nilipo kichwa kinauma hatari ππ
Asante sana mkuu ila watu wema bado wapoPole sana mkuu najua maumivu yake yalivyo.
Ungekuwa jinsia ile wangeshakuambia uweke namba wakupoze machungu ya kuibiwa. Kaza mwanetu
Wapo kaka mkubwa sikupingiAsante sana mkuu ila watu wema bado wapo