Kuibiwa pesa ktk M-PESA

Kuibiwa pesa ktk M-PESA

Garmii

Senior Member
Joined
Feb 26, 2011
Posts
164
Reaction score
19
Mambo jf,kuna tetesi nimeziskia mahali jamaa analalamika ameibiwa pesa zake zilizoko ktk acount ya m-pesa,je ni kwel huu mchezo upo?
 
Katika mazingira yepi, mwaga full story.....
 
kuibiwa kupo kama utakua unatoa ovyo password yako kwa watu
 
Mmh! Wale wanakagua kitambulisho, kuna ishu ya password. Sijui yeye vimekuwaje.
 
kuibiwa kupo kama utakua unatoa ovyo password yako kwa watu

Itabidi akumbuke ni nani amempa kutumia simu yake ikiwa na sim card yake au kamchezea akachomoa sim card na kuitumia. Hii ni zaidi ya kuianika password. Au sivyo naungana na watu wanao doubt kuibiwa hela MPESA hivi hivi kirahisi. Alternatively, iwe ni wafanya kazi wa Voda wenyewe kama mitambo inawaruhusu.

Tetesi kama hizi ndizo ziliwafanya vijana wanaotaka kurudia mitihani NECTA mwaka huu kutokubali kutumia MPESA kulipa ada ya kufanya mitihani. Wote walilipia Posta. Vivyo hivyo Bodi ya Mikopo nayo imeweka utaratibu wa vijana kulipa kupitia MPESA, ZAP, au TIGO PESA badala ya vijana kununua card CRDB ilivyokuwa kwa TCU. Wengi wakifikia hatua hiyo wanaingia mitini ingawaje njia hizi pia zinafanya vizuri. Nimeshuhudia MPESA ikifanya vizuri tu kwa Bodi ya Mikopo. Publicity au Uvumishaji mkubwa unahitajika kuwashawishi vijana wazikubali njia hizi. Kazi kwenu HESLB na NECTA
 
kuibiwa kupo coz maagent wengne huwa hawazingatii vitambulisho na hata ukimpa kitambulisho haangalii picha anaangalia ID namba tu.
 
MPesa inatumia SIM card na PIN kama id wakati wa kutuma hivyo kuibiwa inabidi ugawe sim na pin.
 
Back
Top Bottom