Kuibuka kwa vikundi vikali ni kutokana na mwenendo wa serikali katika nchi

Kuibuka kwa vikundi vikali ni kutokana na mwenendo wa serikali katika nchi

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Leo nimepata kukusanya japo kidogo na kuunganisha kwa nini kuna makundi au vikundi baadae huja kuwa tishio au kuondoa tawala kabisa.

Suala la kuibuka kwa makundi au vikundi kuna mawili ambayo yanafanya kuibuka.

Makundi haya yanaweza kuwa ya chanya au hasi.

Sababu ya kuibuka makundi:
  • Ukosefu wa haki na ukandamizi
  • Ubaguzi
  • Utawala wa mabavu
  • Utawala legelege
  • Utawala mbovu

Sababu hizi ndizo zimepelekea kupata makundi yenye nguvu kali na mpaka leo tunaona kwenye historia na matukio ya leo.

Mfano: Kipindi cha ujerumani na kundi la NAZI.

Mfano 2: Kundi la mafia lilotikisa ulaya mpaka kuwa tishio marekani.

Mfano 3: Somalia, ethiopia, Sudani, Syria, Bosnia, Yugosilavia, Lebanon, Congo na n.k haya yote kwa sababu utawala mbovu.

Hili ni somo kwetu kwa nchi yetu!
japo siwezi taja ila sasa tunaweza kuwa na vijikundi au makundi ambayo mnaweza kueleza.
 
Marehemu angeendelea kuitawala hii nchi. Kuna makundi yangeanza kuzuka. Nasikia walikuwa wanamlazimisha aongeze miaka iwe badala ya mitano.
 
Leo nimepata kukusanya japo kidogo na kuunganisha kwa nini kuna makundi au vikundi baadae huja kuwa tishio au kuondoa tawala kabisa.

Suala la kuibuka kwa makundi au vikundi kuna mawili ambayo yanafanya kuibuka.

Makundi haya yanaweza kuwa ya chanya au hasi.

Sababu ya kuibuka makundi:
  • Ukosefu wa haki na ukandamizi
  • Ubaguzi
  • Utawala wa mabavu
  • Utawala legelege
  • Utawala mbovu

Sababu hizi ndizo zimepelekea kupata makundi yenye nguvu kali na mpaka leo tunaona kwenye historia na matukio ya leo.

Mfano: Kipindi cha ujerumani na kundi la NAZI.

Mfano 2: Kundi la mafia lilotikisa ulaya mpaka kuwa tishio marekani.

Mfano 3: Somalia, ethiopia, Sudani, Syria, Bosnia, Yugosilavia, Lebanon, Congo na n.k haya yote kwa sababu utawala mbovu.

Hili ni somo kwetu kwa nchi yetu!
japo siwezi taja ila sasa tunaweza kuwa na vijikundi au makundi ambayo mnaweza kueleza.
Haiwezekani hao top leader wale keki ya taifa halafu sisi tuendelee kuteseka huku chini huu upuuzi haukubali I will eat kwa urefu wa kamba yangu
 
Back
Top Bottom