mzenjiboy
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 907
- 385
Hayo hapo juu ni maneno ambayo aliwahi kuyatamka Mwalimu Nyerere hapo zama za kale. Jee maneno hayo bado yaenziwe au watu wasonge mbele kwa kudai Tanganyika yao ? 60% (kura ya maoni) ya Watanganyika wanataka Tanganyika yao, Mwalimu munamuweka position ipi ?