Kuiga na kuendeleza matendo ya Hayati Dkt. Magufuli, itasadifu?

Big Eagle

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2020
Posts
592
Reaction score
625
Nifahamuvyo mimi kila zama na kitabu chake

Kinachoendelea nchini kutoka jeshi la polisi na wanasiasa waliojificha nyuma yao kwa kuwabana wapinzani wao katika siasa ni kutaka kuendeleza ya hayati lakini nawaza kwa sauti itawezekana?

Hayati Dkt. Magufuli ni yeye tu kuwa kama yeye ni kuiga na kuiga unaweza kupatia au kuharibu.
 
Sio vibaya Wakiiga Mazuri na mabaya Wakayapotezea!
 
Bibi siyo kwanza anaiga lkn hajui kwamba hajui kuongoza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…