Semenya
JF-Expert Member
- Sep 5, 2009
- 572
- 56
Kumekua na tabia ya watu wengi,kuzitofautisha awamu za serikali ya CCM katika awamu ya 1,2,3na ya 4.
hii ilichagizwa sana na mkuu wa sasa [JK], pale alipoiita awamu ya 4 ni ya nguvu mpya kasi mpya na ari mpya, kwangu mimi akiwa na nia yakujitenganisha na kujiweka katika pahala tofauti na viongozi wenzake.
Jambo hili me naliona ni mwanzo wa mpasuko mkubwa ndani ya CCM na pia hata baadhi ya wananchi, pale wanapojaribu kuzilinganisha serikali hizo 4 tofauti.
lakuzingatia hapa hakuna cha awamu yote ni seriklali ya CCM, iwe kama nchi zinazopigiwa upatu kuendelea kidemokrasia kuwa wao hawatofautishi awamu bali wanatofautisha chama.
uwozo alioufanya Nyerere, Mwinyi na Mkapa yoote ni ya CCM, na si kujifanya kujitenganisha na kujiita awamu ya 4, kama tulivyowahi kusikia mmoja wa viongozi wa CCM akisema 'matatizo ya umeme wamerithi awamu ya 3'. huu ni udanganyifu na kutaka kuonakana bora kuliko mwingine wakati wote kundi lenu ni lilelile.
Ni vyema kusema serikali ya CCM kuliko kuigawanya katika awamu eti tu kuna watu wanataka kukimbia lawama na kujifanya wao bora zaidi.
hii ilichagizwa sana na mkuu wa sasa [JK], pale alipoiita awamu ya 4 ni ya nguvu mpya kasi mpya na ari mpya, kwangu mimi akiwa na nia yakujitenganisha na kujiweka katika pahala tofauti na viongozi wenzake.
Jambo hili me naliona ni mwanzo wa mpasuko mkubwa ndani ya CCM na pia hata baadhi ya wananchi, pale wanapojaribu kuzilinganisha serikali hizo 4 tofauti.
lakuzingatia hapa hakuna cha awamu yote ni seriklali ya CCM, iwe kama nchi zinazopigiwa upatu kuendelea kidemokrasia kuwa wao hawatofautishi awamu bali wanatofautisha chama.
uwozo alioufanya Nyerere, Mwinyi na Mkapa yoote ni ya CCM, na si kujifanya kujitenganisha na kujiita awamu ya 4, kama tulivyowahi kusikia mmoja wa viongozi wa CCM akisema 'matatizo ya umeme wamerithi awamu ya 3'. huu ni udanganyifu na kutaka kuonakana bora kuliko mwingine wakati wote kundi lenu ni lilelile.
Ni vyema kusema serikali ya CCM kuliko kuigawanya katika awamu eti tu kuna watu wanataka kukimbia lawama na kujifanya wao bora zaidi.