Kuikalia na ‘mbuzi kagoma’ ni ukatili kwa wanawake

Si unajua mwanamke akiwa na pesa.

Kuna mmoja huyo alikuwa tukikosana kidogo ananipiga chini baada ya siku kadhaa au mwezi atanipigia tusameheane tunarudiana

Ila nilikula pesa zake, na wanajua kukujali shida ni wivu tukaja kuachana mazima
chamsingi hela unapata mkuu 😂 na utelezi😂ugomvi unavumilia.......unamwacha ajione yuko in control
 
Watu weuweeeeeeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wee,Sema KWeLi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…