Kuikalia na ‘mbuzi kagoma’ ni ukatili kwa wanawake

Safi
 
Hivi yule mama mwenye Hill tek mwenye matusi mengi bado yupo?

Nilishalisahau hili chimbo kitambo sana.
Kuna kipindi nilisikia alivuta.
Na standard za bar ziliporomoka mno ikawa haina mvuto Tena.
Nakumbuka Sana michemsho ya kuku og unaletewa kwenye hotpot uko chobingo na kitoto kiduchuu.
 
Yalaaa we Demi ndo nini hikii??
Somebody hacked my phone. I swear sio mimi niliye comment hapo
🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…