Kuikalia na ‘mbuzi kagoma’ ni ukatili kwa wanawake

😃😃😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Lakini si mnasema wanaume wengine hawako creative. We huchoki kifo Cha mende?
Halafu nimekumbuka jinsi ulivyosifia kitumbua kilivyotuna halafu umaruka kichura kwenye kisiki butu ulichokikalia🤣🤣🤣.

Yaani nimecheka mpaka jirani amejihisi vibaya Kama namcheka yeye.
 
Vijitu vyembamba vinajua kuzikatikia kweli kweli.
Lkn hawa wengine wenzetu hawa wanapenda walale mwanzo mwisho ndo mana kila siku wanasemwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…