Kuikalia na ‘mbuzi kagoma’ ni ukatili kwa wanawake

Ni To Yeye kweli ama ni sijaona vizuri?
 
Siamini km ndiye aliye andika hayo yaani!

Ngoja nikitoka zangu hapa uwanjani game ikiisha nije nieleze mambo yafuatayo;

1 Tofauti ya mwanake kupewa penzi na kufanyishwa mazoezi kipindi akifanyishwa ngono.

2 Tofauti ya uchaguzi wa namna na mtindo wa kufanya mapenzi na kuamrishwa ni namna gani ufanyishwe ngono.

Na kwa kilio ulichotoa hapa,huwa unafanya ngono kwa kulazimshwa pengine kwa kuwa unahitaji fedha ama huduma flani kutoka kwa wanaume.

Nitakuja baadae kidogo.
🤣🤣🤣Na jina lako Hilo🤭
 
Sawa nakusubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…