Kuimarika kwa shillingi ya Tanzania sifa apewe Mkulo rais au wafanyabiashara?

Kuimarika kwa shillingi ya Tanzania sifa apewe Mkulo rais au wafanyabiashara?

Godwine

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2010
Posts
1,371
Reaction score
283
nadhani wote tumeona mwenendo wa kuimarika kwa shillingi ya tanzania swali langu la msingi nani apewe heshima ya tukio hili...mkullo, rais au wafanyabiashara?
 
nadhani wote tumeona mwenendo wa kuimarika kwa shillingi ya tanzania swali langu la msingi nani apewe heshima ya tukio hili...mkullo, rais au wafanyabiashara?

Mkuu nisaidie exchange rate ya dola na madafu. Exchange rate ya leo
 
nadhani wote tumeona mwenendo wa kuimarika kwa shillingi ya tanzania swali langu la msingi nani apewe heshima ya tukio hili...mkullo, rais au wafanyabiashara?

wewe unaota. Imeimarika kivipi? Kutoka sh. 1200 wakati wa mkapa hadi 1670 wewe unaona inaimarika?
 
wewe unaota. Imeimarika kivipi? Kutoka sh. 1200 wakati wa mkapa hadi 1670 wewe unaona inaimarika?

Tuna matatizo watanzania....

Hebu jikumbushe ile nyimbo ya " wa Ujana wangu mimi BABA YENU"

Halafu ndio utajiridhisha kua dunia hairudi nyuma sasa wewe unataka dollar ibaki 1200 tu .... Get lost...

Wakati hujatukana wenzako jiangalie wewe kwanza unauelewa kiasi gani na hili ndio tatizo letu kila mwana JF anajiona yeye kichwa...

Ok tukikua tutaacha.....
Yani hizi nguvu tunazotumia kuwapigia debe watu fulani kana kwamba wakitawala wao tutakua peponi tungezielekeza kwenye maendeleo binafsi nchi ingekua mbali .
 
wewe unaota. Imeimarika kivipi? Kutoka sh. 1200 wakati wa mkapa hadi 1670 wewe unaona inaimarika?
kama wewe ni mdau wa sekta hii utafahamu kuwa tayari shilingi ilianguka mpaka kufikia 1980 kwa dola sasa toka kipindi hicho kadri tunavyoweza kuishusha dola ndio tunaita shilingi imeimarika. usitumie takwimu za zamani sana kwani unataka kukumbushia enzi za nyerere shs 5 per dola?....mkuu nadhani umenipata
 
Tuna
matatizo watanzania....
Hebu jikumbushe ile nyimbo ya " wa Ujana wangu mimi BABA YENU"
Halafu ndio utajiridhisha kua dunia hairudi nyuma sasa wewe unataka
dollar ibaki 1200 tu .... Get lost...
Wakati hujatukana wenzako jiangalie wewe kwanza unauelewa kiasi gani na
hili ndio tatizo letu kila mwana JF anajiona yeye kichwa...
Ok tukikua tutaacha.....
Yani hizi nguvu tunazotumia kuwapigia debe watu fulani kana kwamba
wakitawala wao tutakua peponi tungezielekeza kwenye maendeleo binafsi
nchi ingekua mbali .
Mwalimu gani kakwambia kwamba ni lazima USD iwe inapanda kadri miaka inavyosonga mbele, kwa hiyo mwaka 2020 dola inatakiwa iwe kiasi gani?
 
Mwalimu gani kakwambia kwamba ni lazima USD iwe inapanda kadri miaka inavyosonga mbele, kwa hiyo mwaka 2020 dola inatakiwa iwe kiasi gani?

uyu jamaa tumrudishe class, maana kitu kinapima maendeleo ya nch ni inflation. Sasa dola kupanda maana yake inflation ipo juu,kilichotokea sasa ni kwamba Tsh imejitaidi kubaki kwenye tsh1595 mpaka 1590, haijapanda maana kunawakat ilifika 1785. So bado yatupasa kufanya kaz yaziada
 
wewe unaota. Imeimarika kivipi? Kutoka sh. 1200 wakati wa mkapa hadi 1670 wewe unaona inaimarika?

hili ndio tatizo ya kuchelewa kupata media mapema kutokana na baba yenu wa taifa me nakumbuka km sio 97,98, basi 99 dola ilikuma 700tsh na kaondoka mkapa imepanda hadi 1200 mwaka 2005 hebu nambie imeongezeka tsh ngapi hapo kabla hujamtetea babaako mkapa
 
Mwaka 2005 1US$=126 JP YEN, mwaka 2012 1US$=78 JP YEN.

Nani aliyekuambia dola inatakiwa ipande kadri muda unavyoemda?
 
The problem is our dear shilingi is not STABLE at all.Unaweza kuta kesho imeporomoka balaa
 
Hakuna lolote, kilichofanyika ni BOT kuachia mzigo wa kutosha ili kusaidia madafu yasipwaye!! Harafu pia, anayefanya hizi pesa zipande ni nani? Pengine wababe wa dunia aka wezi wa mali zetu wameona matoeo ya madafu kuendelea kuanguka kutawashtua wabongo na kuweza kuipiga chini serikali yao mapema, ndiyo maana wajanja wakaruhusu dola kibao ziwekwe kwenye mzunguko!! Otherwise, niambieni kuna nini ambacho tumeuza fasta fasta nakuweza kujipatia dola za kutosha kustablize TZS yetu ingawa mfumuko wa bei uko pale pale?
 
pesa ya tanzania bado haijaimarika tusidanganyane. inflation kushukua kutoka 19.8 to 19.2 au 19.4 si kuimarika huko. bado tunasafari kubwa
 
nadhani wote tumeona mwenendo wa kuimarika kwa shillingi ya tanzania swali langu la msingi nani apewe heshima ya tukio hili...mkullo, rais au wafanyabiashara?

Kwa reference gani?
imetoka kiwango gani kwenda gani?
Acheni hasighara jamani we are in the deep shit!!!
 
Kinachofanyika ni kujaribu ku-stabilize Shiling ambayo imeachwa ianguke bila jitihada yoyote, serikali iamue moja ama kutumia Tshs. kwa transactions zote za ndani au iamue kutumia dollar.
Kutumia Dollar kwa transactions za ndani kuna weaken Shillingi yetu.
 
Wakuu kuuliza si ujinga. Hivi kuimarika kwa shillingi dhidi ya US dollar inasaidia nini wananchi? Mbona bei za bidhaa zinazidi kuongezeka? Naomba munieleweshe, ni nani anaefaidika, ni mfanya biashara au Serikali?
 
Wakuu kuuliza si ujinga. Hivi kuimarika kwa shillingi dhidi ya US dollar inasaidia nini wananchi? Mbona bei za bidhaa zinazidi kuongezeka? Naomba munieleweshe, ni nani anaefaidika, ni mfanya biashara au Serikali?

Hili ndilo swala la msingi. Mfano, bei ya bidhaa za nyingi kawaida kama nyanya, vitunguu, nguo, nk. TZ (nazungumzia Dar ambako nakujua zaidi) siku hizi imekuwa juu zaidi kuliko Ulaya na US. $100 inanunua vitu vingi supermarket US kuliko Tsh. 160,000 supermarket/au hata sokoni TZ.
 
Back
Top Bottom