#COVID19 Kuingia Marekani na Uingereza utahitajika kupima Covid 19 siku moja kabla ya safari iwe umechanjwa ama la!

#COVID19 Kuingia Marekani na Uingereza utahitajika kupima Covid 19 siku moja kabla ya safari iwe umechanjwa ama la!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa wasafiri waendao Marekani wanatakiwa kupima covid-19 siku moja kabla ya safari na kupewa kibali.

Kwa wanaosafiri kwenda Uingereza wanatakiwa kupima covid-19 siku mbili kabla ya safari na kupewa kibali

Watanzania tuzingatie hili.
 
Kwa wasafiri waendao Marekani wanatakiwa kupima covid 19 siku moja kabla ya safari na kupewa kibali.

Kwa wanaosafiri kwenda Uingereza wanatakiwa kupima covid 19 siku mbili kabla ya safari na kupewa kibali

Watanzania tuzingatie hili.
Unayo safari kwenda huko?
 
Nashauri umpelekee ujumbe huu Mama , kwakuwa kasema anatripu nyingi za kwenda Kwa mabeberu
 
Huko USA
Hawazingatii kabisa taratibu za kujikinga na korona.
Safari za ndani za ndege au magari hakuna kupima wala nini.

Miyeyusho tu
 
Kwa wasafiri waendao Marekani wanatakiwa kupima covid 19 siku moja kabla ya safari na kupewa kibali.

Kwa wanaosafiri kwenda Uingereza wanatakiwa kupima covid 19 siku mbili kabla ya safari na kupewa kibali

Watanzania tuzingatie hili.
Unasafiri lini?
 
Chanjo ya nini?
Watu wakisema Chanjo ina kazi nyingine wanaonekana wabaya kwenye Taifa .

Wenye ufahamu ndio watapiga Chanjo
 
Back
Top Bottom