haki na usawa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 485
- 138
Naomba kufahamishwa juu ya kuingilia uhuru wa mahakama na ni nani anahusika kutekeleza kama imezuiwa?
Mfano Mitambo ya Richmond iliuzwa hali ya kuwa iliamriwa iwe chini ya mahakama wakati kesi ya kukataa kulipa kulipa tozo ikiwa haijatolewa hukumu?Je si kuingilia uhuru wa mahakama?
Je uhuru umevunjwa nini kitafuata?
Je nani anasimamia uhuru huo na watu wake wa kushurutisha amri hiyo itekelezwe wanakaa wapi na akina nani?
Je kama mtu/kikundi kikivunja adhabu yake ni nini? au ni kiasi gani?
Je ni mifano ipi mingine iliyowahi na kusababishwa hapa nchini kuvunjwa kwa uhuru wa mahakama?
Mfano Mitambo ya Richmond iliuzwa hali ya kuwa iliamriwa iwe chini ya mahakama wakati kesi ya kukataa kulipa kulipa tozo ikiwa haijatolewa hukumu?Je si kuingilia uhuru wa mahakama?
Je uhuru umevunjwa nini kitafuata?
Je nani anasimamia uhuru huo na watu wake wa kushurutisha amri hiyo itekelezwe wanakaa wapi na akina nani?
Je kama mtu/kikundi kikivunja adhabu yake ni nini? au ni kiasi gani?
Je ni mifano ipi mingine iliyowahi na kusababishwa hapa nchini kuvunjwa kwa uhuru wa mahakama?