Kuingiliwa kwa Sera na uendeshaji wa vyombo vya Ulinzi na Usalama, wabunge jadilini hili

Kuingiliwa kwa Sera na uendeshaji wa vyombo vya Ulinzi na Usalama, wabunge jadilini hili

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
Siyo siri, katika Awamu ya Tano iliyopita Vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama viliingiliwa kiutendaji kiwazi wazi.

Hii inaweza leta athari kubwa sana lisipokabiliwa mapema. Tunaona sasa hivi kwa mfano hao vijana wa JKT walioahidiwa ajira utafikiri wanaajiriwa kiwandani.

Kucheza na hivi vyombo kunaweza leta athari kubwa sana kwa usalama wa nchi.

Wabunge msimung’unye maneno, KOSA NI KOSA!
 
Hujaelewa point yangu.

Huwezi kusimama jukwaani na kusema mafundi waashi nitawaajiri kama wanajeshi!

Kuingia jeshi kuna vigezo muhimu.
Mawazo ya ki civilian kweli. Unaonekana hata Scout hukupitia halafu unakurupuka kuleta mada ya Majeshi. Mods, hii thread ifutwe , inalidhalilisha jukwaa.
 
Mawazo ya ki civilian kweli. Unaonekana hata Scout hukupitia halafu unakurupuka kuleta mada ya Majeshi. Mods, hii thread ifutwe , inalidhalilisha jukwaa.
We kuruta ,kwanz piga saluti , tunajua zaidi ya ujuavyo.
 
Back
Top Bottom