spray
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 277
- 241
Wanajamii wazima?
Kwanza poleni uongozi kwa kutokua hewani kipindi kile, mimi hadi leo app inanisumbua, haifungui, nimeunistall nikainstall tena lakini wapi...
Nije kwenye suala langu, nataka niingize mfugo toka nchi jirani, nitaingiza kwa gari..je vibali aina ngapi nataka niwe navyo niepukane na kuchomewa kama ilivyotokea kwa wale vifaranga,
Thanks
Spray
Kwanza poleni uongozi kwa kutokua hewani kipindi kile, mimi hadi leo app inanisumbua, haifungui, nimeunistall nikainstall tena lakini wapi...
Nije kwenye suala langu, nataka niingize mfugo toka nchi jirani, nitaingiza kwa gari..je vibali aina ngapi nataka niwe navyo niepukane na kuchomewa kama ilivyotokea kwa wale vifaranga,
Thanks
Spray