Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,203
- 2,771
Habari waku... Moja kwa moja niende kwenye mada.nilikua naomba kufahamishwa, kama nimeibiwa au kupoteza simu ya IPHONE naweza kuipataje? Maana naskia hizi cm ni rahisi sana kupatikana pindi kizipotea au kuibiwa..
Natanguliza shukraan
Natanguliza shukraan