Kuisema nchi yako kwenye majukwaa ya kimataifa kunaweza kumsaidia mtu kushika dola?

Kuisema nchi yako kwenye majukwaa ya kimataifa kunaweza kumsaidia mtu kushika dola?

kanamaheri

Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
99
Reaction score
84
Hii tabia ya kuivua nguo nchi yako kwenye MAJUKWAA ya kimataifa inasaidia kivipi kushika DOLA kwa mtu, hapa afrika Kila mpinzani aliwaunda serikali alitumia MAJUKWAA ya kimataifa KUISEMA vibaya nchi yake huko nje? Kwa upumbavu huu wakutokujali hadhi na heshima ya Taifa lako.

Ni Bora CCM iendelee kuunda serikali Kila mara kwa sababu wanaosema wanania yakusishika dola ni watetezi wa mabeberu utafikiri wao wakiunda serikali hao jamaa watawapenda!. Nchi tunaipaka matope kana kwamba sisi si wahusika wa Taifa hili Bali ni wakimbizi!

Hata kumezea mengine hatuwezi hao mnawaaminisha nyumbani kwenu kunashida walishawahi kuwaambieni na wao yao?.
 
Hii tabia ya kuivua nguo nchi yako kwenye MAJUKWAA ya kimataifa inasaidia kivipi kushika DOLA kwa mtu, hapa afrika Kila mpinzani aliwaunda serikali alitumia MAJUKWAA ya kimataifa KUISEMA vibaya nchi yake huko nje? Kwa upumbavu huu wakutokujali hadhi na heshima ya Taifa lako.

Ni Bora CCM iendelee kuunda serikali Kila mara kwa sababu wanaosema wanania yakusishika dola ni watetezi wa mabeberu utafikiri wao wakiunda serikali hao jamaa watawapenda!. Nchi tunaipaka matope kana kwamba sisi si wahusika wa Taifa hili Bali ni wakimbizi!

Hata kumezea mengine hatuwezi hao mnawaaminisha nyumbani kwenu kunashida walishawahi kuwaambieni na wao yao?.
Bora useme wewe. Ntarudi baadae kuimalizia point yangu ngoja ninywe chai
 
"Kuleteleza" unamaanisha nini? Vema. Kwa nini mnasemwa huko majukwaani na isiwe vyumbani?Mmejitafakari?Kipi mmefanya?Mpo tayari kujisitiri ili msisemwe?
Hao unaowashitakia wao hawana shida ? Dhuruma tusipitiazo si imesababishwa na wao
 
Hii tabia ya kuivua nguo nchi yako kwenye MAJUKWAA ya kimataifa inasaidia kivipi kushika DOLA kwa mtu, hapa afrika Kila mpinzani aliwaunda serikali alitumia MAJUKWAA ya kimataifa KUISEMA vibaya nchi yake huko nje? Kwa upumbavu huu wakutokujali hadhi na heshima ya Taifa lako.

Ni Bora CCM iendelee kuunda serikali Kila mara kwa sababu wanaosema wanania yakusishika dola ni watetezi wa mabeberu utafikiri wao wakiunda serikali hao jamaa watawapenda!. Nchi tunaipaka matope kana kwamba sisi si wahusika wa Taifa hili Bali ni wakimbizi!

Hata kumezea mengine hatuwezi hao mnawaaminisha nyumbani kwenu kunashida walishawahi kuwaambieni na wao yao?.
Tatizo ccM mnawaziba watu midomo, hawana pa kuongelea. Mngeruhusu mijadala huru ya siasa, hayo yanayosemwa nje yangesemwa kwa wananchi, na hiki ndicho mnachokiogopa zaidi.

CcM inaogopa sana kusemwa, kurekebishwa na kukosolewa, why?
 
Hii tabia ya kuivua nguo nchi yako kwenye MAJUKWAA ya kimataifa inasaidia kivipi kushika DOLA kwa mtu, hapa afrika Kila mpinzani aliwaunda serikali alitumia MAJUKWAA ya kimataifa KUISEMA vibaya nchi yake huko nje? Kwa upumbavu huu wakutokujali hadhi na heshima ya Taifa lako.

Ni Bora CCM iendelee kuunda serikali Kila mara kwa sababu wanaosema wanania yakusishika dola ni watetezi wa mabeberu utafikiri wao wakiunda serikali hao jamaa watawapenda!. Nchi tunaipaka matope kana kwamba sisi si wahusika wa Taifa hili Bali ni wakimbizi!

Hata kumezea mengine hatuwezi hao mnawaaminisha nyumbani kwenu kunashida walishawahi kuwaambieni na wao yao?.
Mkuu Tundu Lissu hajielewi, anafikrihao wa nje wanamhurumia, sana sana wanamlia tim8ng ili wajue watamtumia namna gani kama asset kwao.
 
MTU kuisema vibaya nchi yake inatokana na kuwepo viongozi wasio na tija kwa taifa yaani wanaleta kero kwa wananchi kama ilivyo awamu ya sita
 
Hii tabia ya kuivua nguo nchi yako kwenye MAJUKWAA ya kimataifa inasaidia kivipi kushika DOLA kwa mtu, hapa afrika Kila mpinzani aliwaunda serikali alitumia MAJUKWAA ya kimataifa KUISEMA vibaya nchi yake huko nje? Kwa upumbavu huu wakutokujali hadhi na heshima ya Taifa lako.

Ni Bora CCM iendelee kuunda serikali Kila mara kwa sababu wanaosema wanania yakusishika dola ni watetezi wa mabeberu utafikiri wao wakiunda serikali hao jamaa watawapenda!. Nchi tunaipaka matope kana kwamba sisi si wahusika wa Taifa hili Bali ni wakimbizi!

Hata kumezea mengine hatuwezi hao mnawaaminisha nyumbani kwenu kunashida walishawahi kuwaambieni na wao yao?.
Usipowaruhusu watoto wako kusema shida zao nyumbani wanaweza wakaanza kuzisema shida zao huko nje wanakocheza na wenzao !! Haki huinua Taifa ! Tubadilike !!
 
Hii tabia ya kuivua nguo nchi yako kwenye MAJUKWAA ya kimataifa inasaidia kivipi kushika DOLA kwa mtu, hapa afrika Kila mpinzani aliwaunda serikali alitumia MAJUKWAA ya kimataifa KUISEMA vibaya nchi yake huko nje? Kwa upumbavu huu wakutokujali hadhi na heshima ya Taifa lako.

Ni Bora CCM iendelee kuunda serikali Kila mara kwa sababu wanaosema wanania yakusishika dola ni watetezi wa mabeberu utafikiri wao wakiunda serikali hao jamaa watawapenda!. Nchi tunaipaka matope kana kwamba sisi si wahusika wa Taifa hili Bali ni wakimbizi!

Hata kumezea mengine hatuwezi hao mnawaaminisha nyumbani kwenu kunashida walishawahi kuwaambieni na wao yao?.
Mawazo yako na CCM yako; yako kwenye kushika dola tu. Ndiyo maana nchi inauzwa kila siku na wananchi wanazidi kuwa mafukara huku wajinga wenzako wakiwekeza nguvu zote kwenye kushika dola wakati wameshindwa kuongoza. Kusema juu ya uozo, ufisadi na ukatili wa watawala ni wajibu wa wananchi wote. Idiot!
 
Mbaya zaidi siku hizi hata wajinga nao hujiona Wana maono ya ujenzi wa taifa kumbe ni ulaghai tu.
JamiiForums-1742626671.jpg
 
Hii tabia ya kuivua nguo nchi yako kwenye MAJUKWAA ya kimataifa inasaidia kivipi kushika DOLA kwa mtu, hapa afrika Kila mpinzani aliwaunda serikali alitumia MAJUKWAA ya kimataifa KUISEMA vibaya nchi yake huko nje? Kwa upumbavu huu wakutokujali hadhi na heshima ya Taifa lako.

Ni Bora CCM iendelee kuunda serikali Kila mara kwa sababu wanaosema wanania yakusishika dola ni watetezi wa mabeberu utafikiri wao wakiunda serikali hao jamaa watawapenda!. Nchi tunaipaka matope kana kwamba sisi si wahusika wa Taifa hili Bali ni wakimbizi!

Hata kumezea mengine hatuwezi hao mnawaaminisha nyumbani kwenu kunashida walishawahi kuwaambieni na wao yao?.
Inasaidia kuwanyorosha wahusika wanaojitajirisha kupitia ujinga wa wananchi wao.
 
Hii tabia ya kuivua nguo nchi yako kwenye MAJUKWAA ya kimataifa inasaidia kivipi kushika DOLA kwa mtu, hapa afrika Kila mpinzani aliwaunda serikali alitumia MAJUKWAA ya kimataifa KUISEMA vibaya nchi yake huko nje? Kwa upumbavu huu wakutokujali hadhi na heshima ya Taifa lako.

Ni Bora CCM iendelee kuunda serikali Kila mara kwa sababu wanaosema wanania yakusishika dola ni watetezi wa mabeberu utafikiri wao wakiunda serikali hao jamaa watawapenda!. Nchi tunaipaka matope kana kwamba sisi si wahusika wa Taifa hili Bali ni wakimbizi!

Hata kumezea mengine hatuwezi hao mnawaaminisha nyumbani kwenu kunashida walishawahi kuwaambieni na wao yao?.
Tulia hapo hapo wewe kuna njia moja tu yakutoa ccm madarakani ni pale kitakapo nuka tu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hii tabia ya kuivua nguo nchi yako kwenye MAJUKWAA ya kimataifa inasaidia kivipi kushika DOLA kwa mtu, hapa afrika Kila mpinzani aliwaunda serikali alitumia MAJUKWAA ya kimataifa KUISEMA vibaya nchi yake huko nje? Kwa upumbavu huu wakutokujali hadhi na heshima ya Taifa lako.

Ni Bora CCM iendelee kuunda serikali Kila mara kwa sababu wanaosema wanania yakusishika dola ni watetezi wa mabeberu utafikiri wao wakiunda serikali hao jamaa watawapenda!. Nchi tunaipaka matope kana kwamba sisi si wahusika wa Taifa hili Bali ni wakimbizi!

Hata kumezea mengine hatuwezi hao mnawaaminisha nyumbani kwenu kunashida walishawahi kuwaambieni na wao yao?.
Ñyerere huyo UN. ANCIENT Vipi?
 
Back
Top Bottom