Sitta juma
Member
- Oct 4, 2016
- 44
- 24
Habar wana jamvi,he inawezekana wana ndoa kuish bila kusex,pengine mmojawapo akawa na matatizo mfno jogoo hapandi mtungi,mke hanaga nyege kivile,n mkaweza kuishi miaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
labda wote muwe mabikra (mwanamke na mwanaume) halafu msiishi dunia hii, yani mkaishi kwenye sayari yenu nyingine kabisaHabar wana jamvi,he inawezekana wana ndoa kuish bila kusex,pengine mmojawapo akawa na matatizo mfno jogoo hapandi mtungi,mke hanaga nyege kivile,n mkaweza kuishi miaka
Possible very possible[emoji132] [emoji132]Naona hamjanielewa,namaanisha mmojawapo awe na matatizo fln,mwngne mzima mkaamua kuish ivyo ivyo,is it possible?
Inawezekana Ila huyo mzima asiyekuwa na matatizo ya afya ni lazma atachepuka tuNaona hamjanielewa,namaanisha mmojawapo awe na matatizo fln,mwngne mzima mkaamua kuish ivyo ivyo,is it possible?