Kuishi karibu na Mpaka wa Tanzania na Zambia

Kuishi karibu na Mpaka wa Tanzania na Zambia

Mariott

New Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
2
Reaction score
0
Wana jukwaa Salaam

Kwa wazoefu wa maeneo haya ninaomba msaada.

Mpango wangu ni kuishi mpakani mwa Zambia na Tanzania (karibu na hapo Tunduma) lakini eneo la mpakani kiasi kwamba nikitaka kuvuka kupata mahitaji upande wa pili wa Tanzania ninavuka bila shida.

Pia ni biashara gani hapo inayoweza kunitoa kwa kiasi flani kwa mtaji wa milioni 5?

Wazoefu tusaidiane.
 
Kuna biashara nyingi kwa mfano Zambia wanapenda kuvaa unanunua nguo na viatu Kariakoo unapeleka Lusaka pia biasharq ya unga wa Mahindi Wazambia wanakula sana ugali ndio chakula chao kikuu pia kukoboa mahindi wanakula sana Makande sukari pia biashara ya Spare parts
 
Back
Top Bottom