Nimeisoma vizuri sana....nadhani alitumia ID nyingine ya kiume so tayari ishaunganishwa na hii....au we unaonaje?
Hahahaaaa. Ila kulikuwa na wanaume pia.yaan hat sijui umepatwa na kitu gani ile siku kujufanya mwanaume gafla ya kweli haya anko demi kinachonichanganya zaidi tulisengenyeya wote enzi zile tumeumbuka wambea wote piteni hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaaaa. Sitaki mieee.bora kawatongoeze ili niamini kabisa uende na hela lkn[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeisoma mara mbili....alikomenti kikonki konki hasaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila hakutumia hii ID hivoo
Alifanyiwa intavuuu??
Mi nilipiga ubuyu naye pm kumbe ni mwanaume aiseeHahahaaa. Umenikumbusha mbali sana yaani.
Lilikuwa jopo la wambea hasaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mke wake msafi[emoji23] [emoji23] [emoji28] ...alijitoa ufahamu bana
Hahahaaa. Umenikumbusha mbali sana yaani.
Lilikuwa jopo la wambea hasaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
yaan hat sijui umepatwa na kitu gani ile siku kujufanya mwanaume gafla ya kweli haya anko demi kinachonichanganya zaidi tulisengenyeya wote enzi zile tumeumbuka wambea wote piteni hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaaa. Ila kulikuwa na wanaume pia.
Wambea wenzetu. [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Mi nilipiga ubuyu naye pm kumbe ni mwanaume aisee
Mi had pm aisee hivi kwanini ujifanye jinsia isiyo yako. Kumbe Kuna wanaume hujifanyisha jinsia Kuwa chezea watu
Huuuhuuuu[emoji23] [emoji23]Mi nilipiga ubuyu naye pm kumbe ni mwanaume aisee
Hatari sana hii jamani. Hafu mtu mzima haipendezi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaaaa ni shida sana jamanimweeeh umeumbuka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na wanaume wa humu wanavyoupenda umbea simooo dada[emoji188][emoji188][emoji188]
Sio pa kupaamini humu hata kiduchumweeeh umeumbuka
Hatari sana hii jamani. Hafu mtu mzima haipendezi