Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Pacha wake Lema hajakuwepo hapo?!........mkutano ni full uzushi!Kuzuia siasa za Majukwaa na uminyaji wa Demokrasia kwa miaka minne hakujaokoa ccm hata chembe , bado tegemeo lao kubwa litabakia kuwa Polisi na dola kwa ujumla .
Ushahidi huu hapa
View attachment 1239494
View attachment 1239496
View attachment 1239497
Hahahaaa....... hahahaaa..... Leo alasiri hawakuamini macho yao!Dah watu wanamachungu kigogo kawaingiza chaka
Umechanganyikiwa mkuu , Chadema inahusika nini na ugonjwa wa mtu ? Mwanadamu aliyezaliwa na Mwanamke siku zake si nyingi , hakuna haja ya kujimwambafyKwa siasa za udaku na umbea za upinzani
Itawachukua karne upinzani kuingia ikulu
2020 kuna hatari vizazi vijavyo vikasimuliwa kuliwahi kuwepo chama kinaitwa Chadema
Kwani lowassa alishindwa uchaguzi ule ? kura milion 10 na mil 3 unusu zipi nyingi ?Mkuu;
Mara hii umeishasahau ''mafuriko ya Lowassa''!
Hoja sio kujaza watu bali hao watu uliojaza wamekubaliana na ulichokisema na pia wamekifanyia kazi!
Utakua na matatizo toka lini serekali ikazuia mbunge kuongea jimboni kwakeKuzuia siasa za Majukwaa na uminyaji wa Demokrasia kwa miaka minne hakujaokoa ccm hata chembe , bado tegemeo lao kubwa litabakia kuwa Polisi na dola kwa ujumla .
Ushahidi huu hapa
View attachment 1239494
View attachment 1239496
View attachment 1239497
uchaguzi wa serikali za mitaa bado mwezi tu kufanyika lakini kwa woga mpaka leo wamezuia siasa kudadeki !!Kwa staili hii jiwe hata siku moja ataruhusu mikutano ya kisiasa, hata kama ni mikutano ya kampeni za uchaguzi polisi watazuia kwa visingizio vya taarifa za kiintelijinsia.
Aliyeshinda ndiye rais mpaka sasa,Kwani lowassa alishindwa uchaguzi ule ? kura milion 10 na mil 3 unusu zipi nyingi ?
Swali ni Je, ni kweli hao watu walikuwepo?? Huyo ataenda lini huko tumpime??? Tunachojua ni kuwa, kama wangejaza hivi mji mwingine huoni kungekuwa na shida kiongozi?? Kuna wanaosema ati, Upinzani kwishney!! Tujiulize, hao walikuwa mawe au mingebuka wamevuliwa na kokoro??Hapo Magufuli siku akienda nakuhakikishia watu wataingia kwa kupanda mpaka hapatatosha.
Zitto wewe ni mnafiki sana, usione umejaza ukavimba kichwa.
Muulize uongo aliowaongopea Ijumaa umeishia wapi? Na nyinyi nyumb basi mjitambue kidogo basi?? Ameshawageuza kama peer sasa mko Kigoma!!Kuzuia siasa za Majukwaa na uminyaji wa Demokrasia kwa miaka minne hakujaokoa ccm hata chembe , bado tegemeo lao kubwa litabakia kuwa Polisi na dola kwa ujumla .
Ushahidi huu hapa
View attachment 1239494
View attachment 1239496
View attachment 1239497
Jitutumue tu ungeona umma ulivyolipokea jambo hili usingecomment utumbo huu. Jamaa hapendwi hata chembe hata midoli imemchoka.Muulize uongo aliowaongopea Ijumaa umeishia wapi? Na nyinyi nyumb basi mjitambue kidogo basi?? Ameshawageuza kama peer sasa mko Kigoma!!
Kigogo anaemaje?Kuzuia siasa za Majukwaa na uminyaji wa Demokrasia kwa miaka minne hakujaokoa ccm hata chembe , bado tegemeo lao kubwa litabakia kuwa Polisi na dola kwa ujumla .
Ushahidi huu hapa
View attachment 1239494
View attachment 1239496
View attachment 1239497
Hahaaaaaa Kigogo kawaingizeni mjiniUmechanganyikiwa mkuu , Chadema inahusika nini na ugonjwa wa mtu ? Mwanadamu aliyezaliwa na Mwanamke siku zake si nyingi , hakuna haja ya kujimwambafy