Kuitetea CCM labda ujitoe ufahamu

Kuitetea CCM labda ujitoe ufahamu

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Jamaa wamechoka akili, wanahitaji kupumzika wapate muda wa kutafakari wapi wanapolipeleka raifa, kilichopo sasa ni kama vile wamekata tamaa wanaacha kila kitu kijiendee tu.
 
Jamaa wamechoka akili, wanahitaji kupumzika wapate muda wa kutafakari wapi wanapolipeleka raifa, kilichopo sasa ni kama vile wamekata tamaa wanaacha kila kitu kijiendee tu.

Kwa hakika hawa wamechoka. Kucheza kupokezana:

FpYebPJWAAErwmD.jpeg
 
Serikali madarakani ni ya CCM. Yapo mengi ya kushangaza:

Ni Latra?

LATRA hili la ving'amuzi ni uonevu uliopitiliza

Ni hospitali?

Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?

Ni abiria kwenye mabasi?

Kwanini mabasi ya mikoani 'yalazimishwe' kuingia kila stendi?

Wapi?

View attachment 2525953

Ni wakulima, walaji, wafanyakazi au wafanya biashara? Wapi kuna nafuu?

Tuko kama tunaoongozwa na majambazi.

Panahitajika mustakabala mpya uliopo umefeli.

Kwa kweli
 
Back
Top Bottom