Kuitetea CCM labda ujitoe ufahamu

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Jamaa wamechoka akili, wanahitaji kupumzika wapate muda wa kutafakari wapi wanapolipeleka raifa, kilichopo sasa ni kama vile wamekata tamaa wanaacha kila kitu kijiendee tu.
 
Jamaa wamechoka akili, wanahitaji kupumzika wapate muda wa kutafakari wapi wanapolipeleka raifa, kilichopo sasa ni kama vile wamekata tamaa wanaacha kila kitu kijiendee tu.

Kwa hakika hawa wamechoka. Kucheza kupokezana:

 

Kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…