L Lutu2 Member Joined Mar 11, 2010 Posts 37 Reaction score 16 Jul 23, 2011 #1 Wana JF tafadhari kama kuna mwenye taarifa ya kuhusu nini kinaendelea pala DAWASCO baada ya intavyuu za nafasi ya Billing Officers naomba anijuze
Wana JF tafadhari kama kuna mwenye taarifa ya kuhusu nini kinaendelea pala DAWASCO baada ya intavyuu za nafasi ya Billing Officers naomba anijuze
MAGAMBA MATATU JF-Expert Member Joined Jul 2, 2011 Posts 646 Reaction score 1,199 Jul 23, 2011 #2 Pole sana mkuu tayari watu wameanza kazi.
Nestory87 Member Joined Mar 3, 2011 Posts 6 Reaction score 0 Jul 24, 2011 #3 ..............?????>>>>>>>>>>>>>............"'@
S sirmudy JF-Expert Member Joined May 12, 2010 Posts 386 Reaction score 119 Jul 24, 2011 #4 magamba matatu said: pole sana mkuu tayari watu wameanza kazi. Click to expand... kweli bongo ni noooooomaaaaa..!
magamba matatu said: pole sana mkuu tayari watu wameanza kazi. Click to expand... kweli bongo ni noooooomaaaaa..!
Jaxx Senior Member Joined Mar 22, 2011 Posts 129 Reaction score 28 Jul 24, 2011 #5 MAGAMBA MATATU said: Pole sana mkuu tayari watu wameanza kazi. Click to expand... Usipotoshe watu
Rogie JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 7,586 Reaction score 6,697 Jul 25, 2011 #6 km jamaa anapotosha bc ww ungesema mchakato umefikia wapi mkuu
Jaxx Senior Member Joined Mar 22, 2011 Posts 129 Reaction score 28 Jul 25, 2011 #7 rogi said: km jamaa anapotosha bc ww ungesema mchakato umefikia wapi mkuu Click to expand... Ndiyo majina yako kwa CEO yanasuburi approval so uvumilivu unahusika wadau wenzangu.
rogi said: km jamaa anapotosha bc ww ungesema mchakato umefikia wapi mkuu Click to expand... Ndiyo majina yako kwa CEO yanasuburi approval so uvumilivu unahusika wadau wenzangu.