Kuitwa kwa Mbowe, Pinda na Lipumba kutainusuru Katiba?

Kuitwa kwa Mbowe, Pinda na Lipumba kutainusuru Katiba?

Joined
Mar 1, 2014
Posts
40
Reaction score
9
kulingana na suala zima la mchakato wa katiba mpya unavyoendelea na vituko vya kila siku bungeni hasa kutupiana maneno na kuvunja sheria za bunge..je kuitwa na kuingizwa kwenye kamati ya mashauriano Bwana Mboye,Lipumba na Pinda wanaweza toa mwelekeo mzuri wa huu mchakato wa katiba mpya?
 
wanatupotezea muda hao,wiki ijayo tunataka rasimu ianze kujadiliwa kwa kuanza kuunda hizo kamati.Muda wa kutunga kanuni umetosha ni muda wa Tz kuwakaripia hao walafi.
 
Mkuu Latest Version,
hayo majina umeyakosea kwa bahati mbaya au unafanya makusudi?
 
kulingana na suala zima la mchakato wa katiba mpya unavyoendelea na vituko vya kila siku bungeni hasa kutupiana maneno na kuvunja sheria za bunge..je kuitwa na kuingizwa kwenye kamati ya mashauriano Bwana Mboye,Lipumba na Pinda wanaweza toa mwelekeo mzuri wa huu mchakato wa katiba mpya?
Mboye na Lipunda ni nani? Sina hakika kama wewe ungependa jina lako likosewe ama kwa makusudi au bahati mbaya!
 
kwa Mbowe na Lipumba sioni tatizo,ila kwa hilo zigo sura mbaya ndo kuna maluweluwe!

Ndugu waswahili wanasema hujafa hujaumbika ,haifai kumdharau mtu kwa sura yake ,kumbuka huyo au yeyote yule hajajiumba mwenyewe wala hajajichagua ,mseme au mzungumze mtu lakini kusema fulani anasura mbaya hapo utakuwa unakosea ,sina zaidi ni maoni tu.
 
wanatupotezea muda hao,wiki ijayo tunataka rasimu ianze kujadiliwa kwa kuanza kuunda hizo kamati.Muda wa kutunga kanuni umetosha ni muda wa Tz kuwakaripia hao walafi.

Ni hakika wanawaste time.
Mimi nahisi wawekewe time timeline kwa kila agenda. Na kila discussion ikicross dead lines hamna kulipwa kwa agenda ile na lazima wa conclude. Otherwise Watu watatukanana maisha hawamalizi as long anapata laki5/day
 
Kwa mbowe na lipumba nimeona wanadhamira kabisa ya kutuletea katiba,isipokuwa huyo wa ccm na msimamo wao sipati picha kabisa,lakini yupo lissu kamanda wa ukweli.
 
Na ccm ni wabishi ila kwa hili wamepima wakagundua maji ya shingo kamanda mbowe namwamini
 
Back
Top Bottom