Kuitwa kwa usaili kwa mawakili wa serikali ( state attorneys)

TheTruth

Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
29
Reaction score
3
Wadau nimesikia kuwa kwenye gazeti la nipashe la tarehe 25/06/2012 ofisi ya mwanasheria mkuu imetoa makina ya watu waliofanikiwa kuitwa kwa usaili kupia maombi waliyotuma utumishi..je ni kweli taarifa hizi? Maana sikusoma nipashe la tarehe hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…