Kuitwa kwenye interview access bank

mwambojoke

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
1,084
Reaction score
647
Wadau naulizia kwa wenye uzoefu na Access bank,interview ya kwanza huwa inakueje(oral au written) coz wame n sms niende kufanya interview,na je kama ni written huwa ni maswali gani?,au ndo general knowledge and apititude test!?
 
Hata mie nimepata sms yao,wanadai kwenda na passport size!!inawezekana ikawa applitude test,ngoja wazoefu waje watujuze!!
 
kwanza mnaenda msimbazi centre watu kama 5000 iyo ni written
mnapunguzwa mnabaki tena 2500 mnapiga nyingine tena
1000 nyingine tena
500 discusion
100 discusiion
50 discussion
20 oral
wki nzima interview mkubwa.......
 
ala la heri, najua lazima mkiajiriwa muwe wezi, kwani hakuna mtumishi wa benk asiyeiiba, hasa wale wenye kushika pesa
 
kwanza mnaenda msimbazi centre watu kama 5000 iyo ni written
mnapunguzwa mnabaki tena 2500 mnapiga nyingine tena
1000 nyingine tena
500 discusion
100 discusiion
50 discussion
20 oral
wki nzima interview mkubwa.......

written maswali gani wanauliza!
 
msisahau peni ndugu zangu,mahesabu yapo ila hiz hesabu za kawaida elementary maths
 
kwanza mnaenda msimbazi centre watu kama 5000 iyo ni written
mnapunguzwa mnabaki tena 2500 mnapiga nyingine tena
1000 nyingine tena
500 discusion
100 discusiion
50 discussion
20 oral
wki nzima interview mkubwa.......

Hii tabia ndiyo sababu kuu iliyonifanya niwe mjasiliamali ni upumbavu mtupu, unakwenda sehemu unamwaga Material ya ukweli kuanzia Presentation mpaka solo Presentation halafu kwenye kutoa ajila unashangaa ni matango pori tupu. Phweeeeeeeee!!....
 
written maswali gani wanauliza!
Huu ni utoto unaleta unakwenda kwenye Interview wakati haufahamu ni kazi gani umeomba? unatumia Internet unashinda JF na Facebook badala ya kufunguwa website yao ili usome Hiyo Benki ilianzia wapi ni nani muanzilishi ina account za aina gani inatarget wateja wa namna gani!!

Internet kazi yake siyo Facebook na JF, jielimishe wewe mwenyewe kupitia hii mitandao, ni uzembe na kutojiamini kutaka kujuwa utaulizwa swali gani,wewe unatakiwa uwe Ready 4 Whatever.
 

punguza jazba mkuu.
 
hawa access bank wanatuchanganya coz nimeona tangazo lao la kazi jana na wameandika deadline tarehe 21may mwaka huu na nafasi walizotoa ni cashier na micro loan officer,je na mimi nitume au ndo imekula kwetu tulochelewa?
 
hawa access bank wanatuchanganya coz nimeona tangazo lao la kazi jana na wameandika deadline tarehe 21may mwaka huu na nafasi walizotoa ni cashier na micro loan officer,je na mimi nitume au ndo imekula kwetu tulochelewa?
Huyu nae anataka kufanya kazi Benki, anashindwa hata kujuwa tafsiri ya neno deadline 21may!!?? hawa ndiyo wasomi wetu tunaozalisha sasa hivi. hili ni janga kwa Taifa.
 
Huyu nae anataka kufanya kazi Benki, anashindwa hata kujuwa tafsiri ya neno deadline 21may!!?? hawa ndiyo wasomi wetu tunaozalisha sasa hivi. hili ni janga kwa Taifa.

me nnavyojua deadline ikishafika ndo watu wanaanza kuangalia barua zilizotumwa then watu wanaanza kuitwa kwenye interview ndo maana nikashanga hila ww ndo janga me nimeuliza kiasi cha kuniambia tu unaanza kuleta dharau
 
me nnavyojua deadline ikishafika ndo watu wanaanza kuangalia barua zilizotumwa then watu wanaanza kuitwa kwenye interview ndo maana nikashanga hila ww ndo janga me nimeuliza kiasi cha kuniambia tu unaanza kuleta dharau
Dharau umejidharau wewe mwenyewe, wewe hujui wenzako waliapply lini ndio maana wameitwa kwenye Interview, na wewe Tangazo uliloliona halihusiani na intake yao, hapa panahitaji kuwa Profesa kulielewa hili kwamba kwenye taasisi nyingi Vacancy inapotolewa kila moja ina deadline yake?
 
Hwa Access Bank kwa Job turnover ndio wenyewe...............watu hawakai pale sijui ni maslahi au ni kitu gani......!
 

lakini me sindo nilivyouliza ,ww ungeniambia kama ulivyoandika hapa kua hao wali apply kabla ya tangazo hilo ambalo me nilisema lakini ww umeanza maneno mengi mara hili janga la taifa.poa lakini nnashukuru kwa kunielewesha.
 
Yani unampiga biti halaf unampa hints kama sio maswali yenyewe!
Cha ajabu ye mwenyewe ataona umemmaindi na hata hizo hints sijui ka ataziona.
 
The test is made up of two papers, 50 questions each and you are expected to make at least 50% in each (25marks). Its a combination of Maths, English, Critical Reasoning and a little bit of Current Affairs (States and Capital). Just study GMAT.
You also need to know a bit about banks generally- general and simple policies, which banks are defunct etc.

ukigoogle utaona kama haya: nime copy & paste
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…