Kuitwa kwenye interview

ulanzi mtamu

Senior Member
Joined
May 19, 2012
Posts
102
Reaction score
11
Last week nilipigiwa cm kuhudhuria kwenye usaili j5 then j4 nikapigiwa tna wakasema wameahirisha watanijurisha. NTAITWA?
 
Unajua kuchora chini kama hujui anza kujifunza.
 
Kwani hawakukwambia ni lini uende tena kwa Interview? Ni vyema ungepata details zao na pia wangekudokoza sababu za kuhairisha?
 
waliniambia kwamba ni muingiliano 2 wa ratiba pale oficn kwao so ntajurishwa na wala nicwe na wasiwasi..
 
Afadhali hawajakuita, ungefeli hiyo interview!
Maoni yangu: jifunze jinsi ya kujieleza vizur.
 
kama kusoma hujui basi ata picha babu????
 
hawako serious hao... namshaka na competence yao kwenye hr profesional, huwezi kuitaita watu hovyo tu as if unaenda kunua chips bandani lazima wajue walitaka kuajiri mtu aliesoma, na ni muhimu kwa org yao. achana nao watakuja kukufastruate in future hao
 
Yani ni kama mwanzisha mada ameenda kwa mganga wa kienyeji alafu ndio anamuuliza hilo swali.
Kinachofuata mganaga atamwagiza jogoo ili achungulie kama ataitwa au la!
 
kweli wadau nimeamini comment zenu coz nimepeleleza na kugundua ile nafasi kuna m2 tayari kaanza kazi duuh!. bongo noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…