SemeniAbdallah
New Member
- Mar 7, 2025
- 4
- 3
Habari, mimi ni binti ambaye niliomba ajira serikalini mwaka jana sehemu mbili (Taasisi A, na Taasisi B) kupitia utumishi na nikafanikiwa kupata na kupangiwa kazi kwenye Taasisi A. Hadi sasa nina miezi minne kazini na nimeshapata cheki namba.
Taasisi B ilikuwa bado haijaita watu kwenye usaili, wiki hii majina ya kuitwa kwenye usaili ya Taasisi B yametoka na jina langu lipo. Na kutokana na taarifa mbalimbali inaonekana maslahi ya Taasisi B ni mazuri kuliko Taasis A.
Nimekuwa na maswali haya;
1. Je, niende kwenye usaili wa Taasisi B?
2. Endapo nikafaulu hatua ya mchujo (kuandika) na ya kuongea na kupata nafasi Taasisi B itakuwa rahisi kuhama?
3. Taasisi A hawataleta shida kwenye uhamisho?
4. Hadi sasa bado sijathibitishwa kazini, je hii haitaleta shida kazini (kimaadili) endapo Taasisi niliyopo sasa ikakataa kuniruhusu?
Natanguliza shukrani zenu.
Taasisi B ilikuwa bado haijaita watu kwenye usaili, wiki hii majina ya kuitwa kwenye usaili ya Taasisi B yametoka na jina langu lipo. Na kutokana na taarifa mbalimbali inaonekana maslahi ya Taasisi B ni mazuri kuliko Taasis A.
Nimekuwa na maswali haya;
1. Je, niende kwenye usaili wa Taasisi B?
2. Endapo nikafaulu hatua ya mchujo (kuandika) na ya kuongea na kupata nafasi Taasisi B itakuwa rahisi kuhama?
3. Taasisi A hawataleta shida kwenye uhamisho?
4. Hadi sasa bado sijathibitishwa kazini, je hii haitaleta shida kazini (kimaadili) endapo Taasisi niliyopo sasa ikakataa kuniruhusu?
Natanguliza shukrani zenu.