Kuitwa kwenye usaili RTS Kihangaiko

Kuitwa kwenye usaili RTS Kihangaiko

we umepata wapi, hao waliokupa hawajakupa details nzuri.nilijua unatoa taarifa kuwa kuna watu wameitwa
 
Ronja umeamua kuifungulia uzi mkuu?
tatizo la simu za kuazima hizi mkuu, hata hatujui tutumieje kabla muda tuliazimishwa haujaisha…
Ndo mana, halafu hiyo title nlivoandika imekuwa kama taarifa….
Mnisamehe jamani, 😂
 
Hio lonja mkuu sio ya kweli...kwasababu washaanza kozi hii wiki ya 2 inaenda ya 3 pia meseji za kulipoti kihangaiko huwa zinatumwa vikosini yaani jkt huko...labda ukiwa na mbanga mkubwa anakupa maelekezo jinsi ya kuripoti na sio kutumiwa meseji.

Hivi karibuni kumeibuka wimbi kubwa la matapeli kula pesa za watu kuwapeleka kihangaiko..yaani wanatuma meseji kwa watu tofauti tofauti ukinasa umeliwa kichwa.

Hivyo basi ukweli ni kwamba kihangaiko wako kwenye mkesha hii wiki ya pili inaenda ya tatu na kuruti kama wa 4 hivi washaaga dunia na washazikwa tayari.
 
Hio lonja mkuu sio ya kweli...kwasababu washaanza kozi hii wiki ya 2 inaenda ya 3 pia meseji za kulipoti kihangaiko huwa zinatumwa vikosini yaani jkt huko...labda ukiwa na mbanga mkubwa anakupa maelekezo jinsi ya kuripoti na sio kutumiwa meseji.

Hivi karibuni kumeibuka wimbi kubwa la matapeli kula pesa za watu kuwapeleka kihangaiko..yaani wanatuma meseji kwa watu tofauti tofauti ukinasa umeliwa kichwa.

Hivyo basi ukweli ni kwamba kihangaiko wako kwenye mkesha hii wiki ya pili inaenda ya tatu na kuruti kama wa 4 hivi washaaga dunia na washazikwa tayari.
labda angesema rts Oljoro
 
Hio lonja mkuu sio ya kweli...kwasababu washaanza kozi hii wiki ya 2 inaenda ya 3 pia meseji za kulipoti kihangaiko huwa zinatumwa vikosini yaani jkt huko...labda ukiwa na mbanga mkubwa anakupa maelekezo jinsi ya kuripoti na sio kutumiwa meseji.

Hivi karibuni kumeibuka wimbi kubwa la matapeli kula pesa za watu kuwapeleka kihangaiko..yaani wanatuma meseji kwa watu tofauti tofauti ukinasa umeliwa kichwa.

Hivyo basi ukweli ni kwamba kihangaiko wako kwenye mkesha hii wiki ya pili inaenda ya tatu na kuruti kama wa 4 hivi washaaga dunia na washazikwa tayari.
ila huyu jamaa huyu 😂
 
  • Thanks
Reactions: xmx
Back
Top Bottom