Black Codes Cracker
Senior Member
- May 7, 2022
- 188
- 238
Kuna poti yupo makao (dom), kwenye stori zetu za hapa na pale, akanipa hiyo ronja….we umepata wapi, hao waliokupa hawajakupa details nzuri.nilijua unatoa taarifa kuwa kuna watu wameitwa
Basi itakuwa ni ronja tuu kama ulivyoambiwaKuna poti yupo makao (dom), kwenye stori zetu za hapa na pale, akanipa hiyo ronja….
Nami nikaamua niulize kama kuna yeyote amepokea sms yoyote….
ngoja tuoneBasi itakuwa ni ronja tuu kama ulivyoambiwa
tatizo la simu za kuazima hizi mkuu, hata hatujui tutumieje kabla muda tuliazimishwa haujaisha…Ronja umeamua kuifungulia uzi mkuu?
Kaulize Kule kwenye Uzi wa nafasi za kazi jeshi la polisi mule majibu utayapata wafuasi wengi wa majeshi wapo muleHabari zenu wakuu.
Nimepata ronja kuwa sms za kuitwa KIHANGAIKO zimeanza kutumwa. Je, kuna yeyote amepokea?
Iweke hapa tuoneHabari zenu wakuu.
Nimepata ronja kuwa sms za kuitwa KIHANGAIKO zimeanza kutumwa. Je, kuna yeyote amepokea?
labda angesema rts OljoroHio lonja mkuu sio ya kweli...kwasababu washaanza kozi hii wiki ya 2 inaenda ya 3 pia meseji za kulipoti kihangaiko huwa zinatumwa vikosini yaani jkt huko...labda ukiwa na mbanga mkubwa anakupa maelekezo jinsi ya kuripoti na sio kutumiwa meseji.
Hivi karibuni kumeibuka wimbi kubwa la matapeli kula pesa za watu kuwapeleka kihangaiko..yaani wanatuma meseji kwa watu tofauti tofauti ukinasa umeliwa kichwa.
Hivyo basi ukweli ni kwamba kihangaiko wako kwenye mkesha hii wiki ya pili inaenda ya tatu na kuruti kama wa 4 hivi washaaga dunia na washazikwa tayari.
labda angesema oljoro yeslabda angesema rts Oljoro
mi sijatumiwa mkuu, ila nimeambiwa wameanza kutumaIweke hapa tuone
ila huyu jamaa huyu 😂Hio lonja mkuu sio ya kweli...kwasababu washaanza kozi hii wiki ya 2 inaenda ya 3 pia meseji za kulipoti kihangaiko huwa zinatumwa vikosini yaani jkt huko...labda ukiwa na mbanga mkubwa anakupa maelekezo jinsi ya kuripoti na sio kutumiwa meseji.
Hivi karibuni kumeibuka wimbi kubwa la matapeli kula pesa za watu kuwapeleka kihangaiko..yaani wanatuma meseji kwa watu tofauti tofauti ukinasa umeliwa kichwa.
Hivyo basi ukweli ni kwamba kihangaiko wako kwenye mkesha hii wiki ya pili inaenda ya tatu na kuruti kama wa 4 hivi washaaga dunia na washazikwa tayari.