Kuitwa timu za taifa kwa wachezaji wa kigeni

Hahahaha, mkuu shukuru mungu uto hawakuoni wangekufua vibaya mno
 
Saougne Yaokuba(Burkina faso)

Lamine Moro (Ghana)

Tuisila(DRC)

Mukoko(DRC)

Michael Sarpong(Ghana)

Carlinhos(Angola)

Shikhalo(Kenya)

Niyonzima(Rwanda)


Hapo wakuwatolea macho ni Shikhalo,Niyonzima kidogo Carlinho vingenevyo uwe umeamua tu kujitoa ufahamu.
 
Yanga wanatuaminisha wanawachezaji bora Africa waliowavunjia mikataba As vita ,Atletco de Luanda,Asec mimosa nk
Bora zaidi wanasema lamine anaetoka Ghana lakini Ghana wamemuita Yakub Mohammed wa azam wakamuacha lamine aliye bora zaidi ya yakubu huoni Tff wanaihujumu yanga?
 
Ndio umeandika utopolo ili kuthibitisha utopolo wenu[emoji23][emoji2187][emoji2187][emoji2187]
 
Sasa hivi ukimquote mtu wa utopolo, ndala, yeboyebo, mbwa, nyani, usisahau emoji hizi[emoji2187][emoji2187][emoji119][emoji120][emoji2089][emoji2089][emoji2088][emoji2088][emoji2222] la sivyo utachezea vitasa mpaka ufe, dawa ni kuyatania alafu unatoka nduki.... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mambwa hayooooo [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Yanga waunde umoja wa wachezaji wa kigeni waombe game hata zanzibar heroes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…