Kuivunja imani ya Kiislam ni ngumu sana Duniani

Mwisho wa siku kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe. Tusiendekeze dini badala yake tumtafute Mungu
Wachache sana wanajua tofauti ya Dini na Mungu. Ndio maana wengi utawasikia wanasema dini imekataza na sio Mungu amekataza.

Wanaheshimu dini zaidi kuliko wanavyomuheshimu Mungu.
 
bila dini utamtafuta vipi huyu Mungu?
Waliozaliwa kabla ya dini walimtafuta vipi Mungu? Aliyezaliwa akaishi akafa bila kuwa kuisikia dini unahisi atahukumiwa kwa vigezo gani? Dini yake au Matendo yake?
 
Mwisho wa siku kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe. Tusiendekeze dini badala yake tumtafute Mungu
Hii concept ya kwamba Mungu hutafutwa ndo concept inayo halalisha upotovu mwingi sana unaofanywa kwa kutumia jina Mungu.

Mungu hatafutwi! ... bali Mungu hufatwa (kwa kufata maamrisho yake). Unamtafutaje Mungu ambaye tayari ameshakupa muongozo wa kumuabudu na namna gani uishi?

Ikiwa imani yako haina muongozo wa kutoka kwa Mungu juu ya vipi unapaswa kuabudu na kuishi maisha yako badala yake unaishi kwa kufata mtazamo wa viongozi wa dini yako then jitafakari vizuri!
 
Waliozaliwa kabla ya dini walimtafuta vipi Mungu? Aliyezaliwa akaishi akafa bila kuwa kuisikia dini unahisi atahukumiwa kwa vigezo gani? Dini yake au Matendo yake?
Hakuna nyakati ambapo dini haikuwepo! ... tafsiri sahihi ya dini ni mfumo wa maisha ya mtu, unaposema mimi ni Mkristo maana yake ni kwamba wewe unaishi kulingana na mafundisho ya kikristo. Halkadhalika, hata yule ambae hajawahi kusikia uwepo wa Mungu mmoja muumba mbingu na ardhi ana namna flani ya kuishi maisha yake na utagundua kuwa na wao pia wanatambua kuwa kuna entity yenye nguvu juu yao na kutakuwa na namna flani ya ku-submit to that entity. Bottom line they also have their way of living, hiyo ndo dini yao.

Mfano katika Uislamu Mungu anasema hatowaadhibu watu mpaka awapelekee mjumbe! ... so ikiwa kweli hao watu hawajawahi kufikiwa na ujumbe juu ya Mungu then kwa kauli ya Mungu hatowaadhibu, ila pia unapaswa kufahamu hawa mitume tunaowajua sisi sio kwamba ndo wote waliotumwa na Mungu, wapo wengine wengi tu ambao hawajatajwa katika Quran wala Bible ila anajua yeye Mungu na hao watu aliowapelekea hao mitume.
 


You have verses that indicate that Paul was preaching his own Gospel...


Romans 2:16



16This will take place on the day when Godwill judge men's secrets through Jesus Christ, as my gospel declares.


Romans 16:25


Now to him who is able to establish you by my gospel and theproclamation of Jesus Christ, according to the revelation of the mystery hidden for longages past,



You have verses that indicate that Paul was preaching the Gospel of God...


Romans 15:16



16 to be a minister of Christ Jesus to theGentiles with the priestly duty of proclaiming the gospel of God, so thatthe Gentiles might become an offering acceptable to God, sanctified by the Holy Spirit.


2 Corinthians 11:7


7 Was it a sin for me to lower myselfin order to elevate you by preaching the gospel of God to you free of charge?


You have verses that indicate that Paul waspreaching the Gospel of Christ...


1 Corinthians 9:13



But we did not use this right. On the contrary, we put up with anythingrather than hinder the gospel of Christ. 13 Don'tyou know that those who work in the temple get their food from the temple, and those whoserve at the altar share in what is offered on the altar?


2 Corinthians 2:12


12Now when I went to Troas to preach thegospel of Christ and found that the Lord had opened a door for me,


2 Corinthians 9:13


13Because of the service by which you haveproved yourselves, men will praise God for the obedience that accompanies your confessionof the gospel of Christ, and for your generosity in sharing with them andwith everyone else.


2 Corinthians 10:14


14 We are not going too far in our boasting,as would be the case if we had not come to you, for we did get as far as you with the gospel of Christ.


Romans 1:9


9God, whom I serve with my whole heart inpreaching the gospel of his Son, is my witness how constantly I remember you



The last verse shows a distinction between God and his Son(referring to Jesus).


So was Paul preaching his own gospel, the gospel of Jesus or the Gospel of God?
 
NI WENDAWAZIMU KUDHANI KUNA MTU ANAHANGAIKA NA KUVUNJA IMANI YOYOTE. KUVUNJA IMANI YA UJAMBAZI NI NGUMU PIA DUNIANI. PAMOJA NA MAJAMBAZI KUUAWA,KUFUNGWA BADO YAPO. THE SAME WACHAWI HAWAISHI.
 

Canonical gospels​

Main article: Canonical gospels

See also: New Testament, Christian biblical canons, and Development of the New Testament canon


Hypothesized sources of the synoptic gospels​

Main articles: Two-source hypothesis and Four-document hypothesis

  • Q sourceQ is material common to Matthew and Luke, but not found in Mark
  • M sourceM is material unique to Matthew
  • L sourceL is material unique to Luke

Hypothesized sources of the Gospel of John​

  • Signs Gospel – narrative of the Seven Signs
  • Discourses Gospel – source of the discourse material

Apocrypha and pseudepigrapha​

Main articles: Apocrypha and Pseudepigrapha

Gnostic gospels​

Main article: Gnostic Gospels


Jewish-Christian gospels​

Main article: Jewish-Christian gospels


Infancy gospels​


Other gospels​


Partially preserved gospels​


Fragmentary preserved gospels​

Fragmentary gospels are those preserved from primary sources.


  • Gospel of Eve – mentioned only once by Epiphanius around 400 AD, who preserves a single brief passage in quotation
  • Gospel of Mani – 3rd century – attributed to the Persian Mani, the founder of Manichaeism
  • Gospel of the Saviour (also known as the Unknown Berlin gospel) – highly fragmentary 6th century manuscript based on a late 2nd or early 3rd century original, a dialogue rather than a narrative, heavily Gnostic in character in that salvation is dependent upon possessing secret knowledge
  • Coptic Gospel of the Twelve – late 2nd century Coptic language work – although often equated with the Gospel of the Ebionites, it appears to be an attempt to retell the Gospel of John in the pattern of the Synoptics; it quotes extensively from the Gospel of John.

Reconstructed gospels​

Reconstructed gospels are those preserved from secondary sources and commentaries.


  • Secret Gospel of Mark – suspect: the single source mentioning it is considered by many to be a modern forgery, and it was lost before it could be independently authenticated.
  • Gospel of Matthias – a lost text from the New Testament apocrypha. The content has been surmised from descriptions in works by church fathers.

Lost gospels​

  • Gospel of Cerinthus – around 90–120 AD – according to Epiphanius,[9] this is a Jewish gospel identical to the Gospel of the Ebionites, and apparently, a truncated version of the Gospel of Matthew according to the Hebrews.
  • Gospel of Apelles – mid- to late 2nd century, a further edited version of Marcion's edited version of Luke
  • Gospel of Valentinus[a]
  • Gospel of the EncratitesList of Gospels - Wikipedia
    [*]Gospel of Andrew – mentioned by only two 5th century sources (Augustine and Pope Innocent I) who list it as apocryphal[c]
    [*]Gospel of Barnabas – this work is mentioned only once, in the 5th century Decree of Gelasius, which lists it as apocryphal.
    [*]Gospel of Bartholomew – mentioned by only two 5th century sources, which list it as apocryphal.[d]
    [*]Gospel of Hesychius – mentioned only by Jerome and the Decree of Gelasius that list it as apocryphal.[e]
    [*]Gospel of Lucius – mentioned only by Jerome and the Decree of Gelasius that list it as apocryphal.
    [*]Gospel of Merinthus[f] – mentioned only by Epiphanius; probably the Gospel of Cerinthus, and the confusion due to a scribal error.
    [*]An unknown number of other Gnostic gospels not cited by name.[g]
    [*]Gospel of the Adversary of the Law and the Prophets[11]
    [*]Memoirs of the Apostles – lost narrative of the life of Jesus, mentioned by Justin Martyr, the passages quoted by Justin may have originated from a gospel harmony of the Synoptic Gospels composed by Justin or his school.



Fragments of possibly unknown or lost (or existing) gospels

Fragmentary gospels are those preserved from primary sources.


  • Papyrus Egerton 2 – late 2nd century manuscript of possibly earlier original; contents parallel John 5:39–47, 10:31–39; Matthew 1:40–45, 8:1–4, 22:15–22; Mark 1:40–45, 12:13–17; and Luke 5:12–16, 17:11–14, 20:20–26, but differ textually; also contains incomplete miracle account with no equivalent in canonical Gospels
  • Fayyum Fragment – a fragment of about 100 Greek letters in 3rd century script; the text seems to parallel Mark 14:26–31
  • Oxyrhynchus Papyri – fragments #1, 654, and 655 appear to be fragments of Thomas; #210 is related to Matthew 7:17–19 and Luke 6:43–44 but not identical to them; #840 contains a short vignette about Jesus and a Pharisee not found in any known gospel, the source text is probably mid-2nd century; #1224 consists of paraphrases of Mark 2:17 and Luke 9:50
  • Gospel of Jesus' Wife – modern forgery based on the Gospel of Thomas[12][13]
  • Papyrus Berolinensis 1171book of Enoch 0 – 6th century Greek fragment, possibly from an apocryphal gospel or amulet based on John.
  • Papyrus Cairensis 10735 – 6th or 7th century Greek fragment, possibly from a lost gospel, may be a homily or commentary
  • Papyrus Merton 51 – fragment from apocryphal gospel or a homily on Luke 6:7
  • Strasbourg Fragment – fragment of a lost gospel, probably related to Acts of John


Medieval gospels



Modern gospels




See also



Notes

  • Mentioned by Tertullian in Adversus Valentinianos, according to Irenaeus, it is the same as the Gospel of Truth
  • Epiphanius ascribed a gospel to the sect of Encratites. It is more probable however, that he referred to the Gospel of Tatian
  • Augustine and Innocent only mentioned it once with no information about it. If it is the same as the Acts of Andrew, then it was written around 150–250 AD and is not lost, and is kind of a Christian retelling of the Odyssey, only with St. Andrew in the lead role.
  • Jerome mentions it twice: Catul. Script. Eccles. in Pantæn. and Præfat. in Comm. in Matt.[expand acronym] It is also mentioned once in the Decree of Gelasius
  • This phrase is found in the Decree of Gelasius wherein certain gospels are condemned by that title. What they were is uncertain. Jerome speaks of "those books which go under the names of Lucian and Hesychius and are esteemed through the perverse humors of some".
  • The Gospel of Merinthus is mentioned only by Epiphanius as one of those spurious gospels which he supposes were written in the apostles' time and referred to by Luke in Luke 1:1 "as not being a true and genuine account". Fabricius supposes that Merinthus and Cerinthus are the same person and that Cerinthus was changed into Merinthus by the way of banter or reproach. Although Epiphanius makes them into two different persons, yet in the heresy of the Cerinthians, he professes himself uncertain. He said "The Cerinthians are also called Merinthians as we see by the accounts we have; but whether this Cerinthus was also called Merinthus, a fellow laborer of his, God knows".[10]
  • The Gnostics had various gospels. Epiphanius speaks of their writing "The Revelation of Adam, and other false gospels".
  • The Eye-Witness gospel is a gospel written by Elsie Louise Morris and/or Benjamin Fish Austin. The gospel purports to be an old manuscript found in an old Alexandria Library giving a graphic and detailed account of Jesus as a friend of Jesus. The gospel states that Jesus did not die on the cross, but died six months later. The gospel references the Essenes a lot, and is allegedly written by an elder of the Essene order who was a close friend of Jesus'. The document was discovered in a building in Alexandria, but since then, the document has disappeared. It was published in 1907 by John Richardson and again by the Holmes Book Company in 1919. This information was retrieved from 4Enoch.org
  • The Fifth Gospel by Rudolf Steiner is another gospel obtained from Akashic records. The gospel is in the form of 13 lectures. The book contains Zoroastrian themes along with Christian themes. The gospel states that the Lord's Prayer is based on an ancient pagan prayer that Jesus obtained from Ahriman. Steiner states that the Gospel can be read at Akashic Record. The gospel's authenticity is doubted because Levi Dowling and Edgar Cayce both produced stories of Jesus' life from Akashic Record. Most of the text can be read at Google Books with the title The Fifth Gospel: From the Akashic Record.
  • Hans Naber (or Kurt Berna) was a soldier in World War II who claimed to have been given a message from Jesus Christ about the Shroud of Turin and that he did not die on the cross. He claimed too much blood was on the shroud and that corpses do not bleed, thus the person was probably alive or dying. He published a series of books in an attempt to prove that Jesus did not die on the cross, but survived and went to India. The Fifth Gospel (Das Fünfte Evangelium) was a book in which he attempted to prove that Jesus traveled to India with Mary Magdelene and Thomas the Apostle.
  • Grabriele Wittek, founder of the new religious movement Universal Life published this gospel as a rebuilding of the gospel of the Holy Twelve. The full title of the book is This Is My Word – Alpha and Omega: The Gospel of Jesus. the Christ Revelation, which True Christians the World Over Have Come to Know. The gospel can be read online at Das-Wort Publishing House in Universelles Leben.
  • Catulle Mendès was a French poet who claimed to have found gospel written by the Apostle Peter. He said he found the manuscript at the St. Wolfgang Abbey. Unlike other biblical hoaxes, Mendes presented the manuscript, which was written in Old Latin that the Romans had used. However, the manuscript was quickly proved to be a hoax as it was written by Mendes. The gospel is an infancy Gospel attributed to the Apostle Peter. It was originally written in Latin by Mendes but was eventually translated into French by Mendes. The title of the original book is L'Evangile de l'enfance de Notre Seigneur Jésus Christ selon Saint Pierre, mis en français par Catulle Mendès d'après le manuscrit de l'Abbaye de Saint Wolfgang, or The Gospel of the infancy of our Lord Jesus Christ according to Saint Pierre, translated into French by Catulle Mendès from the manuscript of the Abbey of St. Wolfgang.
  • Otoman Zar-Adusht Ha'nish, founder of the Mazdaznan movement published a book called Jehoshua the Nazir. He claimed to get it from various Eastern mysterious sources. The book was first published in 1917 with the title Yehoshua Nazir; Jesus the Nazarite; life of Christ. The book is accepted as scripture by the Mazdaznan followers. The text is available on the Internet Text Archive.
  • Harvey Lewis was a notable Rosicrucian author and author of the Mystical Life of Jesus. The gospel was allegedly inspired by the Aquarian Gospel. The book is a collection of records about Jesus retrieved from the ancient monastreries of the Essenes and the Rosicrucian Order. Lewis allegedly went with a staff of researchers through Palestine and Egypt visiting holy sites and obtaining information. The book states that Jesus entered priesthood and secret priesthood and talks about the doctrines and secret facts about the resurrection.
  1. Friedrich Clemens Gerke was a German writer and journalist, most notable for his revision of Morse Code in 1848. In 1867 he published the Ur-Gospel of the Essenes (Urevangelium der Essäer). It was also known as the Fifth Gospel (Das Fünfte Evangelium) and later as Jesus the Nazarene — Life, Teachings and Natural Death of the Wisest of the Wise. Reality Retold and Dedicated to the German People (Jesus der Nazarener — Des Weisesten der Weisen Leben, Lehre und natürliches Ende. Der Wirklichkeit nacherzählt und dem deutschen Volke gewidmet.) The book has not been translated into English and the full text in German is available at the internet text archive under the title Jesus der Nazarener.


Footnotes

  1. Bernhard, Andrew (October 11, 2012). "How The Gospel of Jesus's Wife Might Have Been Forged" (PDF). gospels.net. Archived from the original (PDF) on March 5, 2016. Retrieved June 11, 2017.


References



External links





Categories:






    • This page was last edited on 19 January 2024, a
 



Isaya 7:14 …

Tazama bikira atachukuwa mimba, atazaa mtoto mwanamume naye ATAMWITA jina lake Imanueli.

Wakristo hupenda sana kutumia huu mstari kuonyesha kuwa Nabii Yesu alitabiriwa kwenye mstari huu, lakini ni kitu cha kushangaza sana kwa kushindwa kuangalia mustakbali mzima wa huo mstari ulipo anzia mpaka kufikia aya ya 14.

Ukisoma kuanzia Anza Isaya 7:10, utagunduwa kuwa utabiri ulikuwa unamuhusu Mfalme Ahazi au Isaya mwenyewe kuwa mkewe ndio atakaye zaa mtoto na ndio maana ukiendelea mbele mpaka kufikia Isaya 9:6, utakutana na maneno haya:

Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.

Isaya 9:6

Mstari huu, umeandikwa kwa present past tense, yaani tukio ambalo limekwisha tokea, ila utokeaji wake si wa muda mrefu. Ndio maana ikaandikwa "...Tumepewa mtoto mwanamume..." Kuonyesha kuwa tendo limekwisha tendeka, si kuwa litatendeka kwa wakati ujao.

Hapa nanukuu kitabu kimojawapo ambacho ni mwongozo kwa walimu wa theologia (Teacher’s guides to religions education series) uliokubaliwa na Wanatheologia wote (Agreed Sylabases).

Kitabu hiki kinaitwa "The Rise of the Prophets" Senior lessons – Volume Six cha Norman J. Bull, M.A – Champlain and lecturer in Divinity Saint Luke’s College.

Mfululizo wa miongozo hii imetayarishwa na The Religious Education Press Ltd. Wallington Survey (1961) katika ukurasa wa 156 kikizungumzia "Imanuel"

Kinasema

Hicho ndicho wanachofundishwa Makadinali, Maaskofu, Mapadre n.k. kuwa huyo mwanamke hakuwa bikira (not a virgin) na tayari alikuwa na mtoto (was with child) na wala sio Maria bali mke wa Nabii Isaya au mfalme Ahazi. Na wanasisitiziwa kuwa hakuna utabiri wa uzazi wa mwanamke bikira hapo " there is no Prophecy here of a virgin birth".

Vilevile ukisoma Biblia ya Revised Standard Version (RSV) kuhusiana na Isaiah 7:14, wao wamelitafasiri neno la Kihebrania (עַלְמָה) 'almāh{al-maw'} kuwa ni "young woman" Mwanamke Kijana au kwa Kiswahili cha kawaida twaweza kusema Msichana (Kigori) na si kama wanavyotafasiri kwenye biblia zingine kuwa neno ilo lina maana ya "virgin" yaani Bikra au Bikira.

Neno Bikira au Bikra kwa Kihibrania ni [בְּתוּלָה (bəṯūlāh)] limetumika mara 50 kwenye Septuagint.

Hapa chini kuna tafasiri mbalimbali kutoka baadhi ya Biblia

Revised Standard Version (American; RSV)
Therefore the Lord himself will give you a sign. Behold, a young woman[a] shall conceive and bear a son, and shall call his name Imman'u-el
---


Tafsiri Nyingine:​

The Jerusalem Bible (Koren Publishing; JBK).

Therefore the Lord himself shall give you a sign: a maiden is with child and she will bear a son, and will call his name Immanuel.
---

New Jerusalem Bible (Catholic; NJB)
The Lord will give you a sign in any case: It is this: the young woman is with child and will give birth to a son whom she will call Immanuel
---

New English Bible (NEB)
Therefore the Lord himself shall give you a sign: A young woman is with child, and she will bear a son, and will call him Immanuel.
---

New English Translation Bible (NET)
For this reason the sovereign master himself will give you a confirming sign. Look, this young woman is about to conceive and will give birth to a son. You, will name him Immanuel.


Waweza kupitia Rejea kwenye link hizi kujisomea zaidi​






"Mjinga huamini kila neno; bali mwenye busara huangalia sana aendavyo" (Mithali 14:15).
 



Ukristo


Mambo ya kuyaangalia ndani ya Biblia ni mengi mno. Insha’Allah tutajaribu kuyaangalia machache kwa kadri ya uwezo wetu utakapotupeleka.

Nazarayo [Nasara], (Nazarene) ni dini iliyo anzishwa dhidi ya jumuiya za Mafarisayo na Masadukayo zilizokuwepo kabla. (Taz. Matendo 23:6-8, Mathayo 2:23, na kitabu kungine cha Luka kiitwacho Matendo 24:1-5 na 28:16-22).

Jina “Wakristo" lilianza kutumika kule Antiokia baada ya kuondoka Bwana Yesu (as). (Matendo 11:26). Hilo ni jina la kupanga walilotumia Wapagani wa Antiokia katika kuwaita wafuasi wa Paulo. Wapagani hao walilifahamu neno "Kristo" kama jina la ukoo tu, si kama jina la cheo kwa asili yake yaani mtiwa mafuta au Masiya" (Taz. Biblia Takatifu Tabora).

Matatizo na Ukinzani ndani ya Biblia

Kama nilivyo eleza hapo juu si waislam tu walioamua kuchimba zaidi kuhusu asili ya ukristo. Hata waandishi wasio amini dini yoyote ile nao wakawa wamo ndani ya kutafuta ukweli wa dini hii. Tarekh (History) ikatufunza mambo mengi na kufukuwa siri nyingi mno zilizo fichwa kwa karne kadhaa. Yaliyo gundulikana ni mengi sana. Historia inatufahamisha kuwa Nabii Yesu (as), amezaliwa mnamo karne ya sita (6BCE). (Encyclopaedia Britannica 1978 Vol 10. p 145 under the word Jesus Christ).
Muhulize mtu yeyote yule nini maana ya BCE iliyo fuatiwa na namba kabla (mf: 8BCE). Kwa asilimia 99.99% atakwambia kuwa ni Before Christ, lakini ni kweli hii ndo maana yake haswa? Mbona haiendani na tarehe halisi ya bwana Yesu? Encyclopaedia ya Webster toleo la mwaka 1992 chini ya neno “BC” wamelitafsiri kama Christian Calendar. Ukiendelea mbele zaidi wanatufahamisha kuwa neno hili asili yake ni kifupisho cha maneno haya yafuatayo “Before Common Era” yaani BCE. Bwana Yesu kazaliwa karne ya sita na kuondoka karne ya sita. Na ndo maana hata madhebu na hata baadhi ya maskofu wamekiri kuwa sikukuu hii ya krisimas haina asili yoyote au mnasaba na siku aliyo zaliwa Bwana Yesu (as). Ukisoma Encyclopaedia Brittanica chini ya kichwa cha maneno Chrismas utakuta mamneno haya yafuatayo…

Christmas for example, has much more to do with pagan festivals and idol worship than the worship of the One true God.
The 25th of December is actually the time of the winter solstice when the pagans celebrated the 'return of the sun' when the days began lengthen and the sun began to climb higher in the sky
[Encyclopaedia Britannica Vol 3]. Fananisha maneno hayo na Aya kutoka Jeremiah 10:2-5

The "Christmas Tree" was originally an idol, and the presents underneath it offerings to the idol, in order to speed the return of the dying winter sun.
[Encyclopaedia Britannica Vol 3]

Sikukuu hii iliingizwa ndani ya ukristo mnamo mwaka 336AD, baada ya wapagani wengi kukubali ukristo wa Paulo na wanatheolojia wa kikristo kwa sababu walikuwa wanataka wafuasi wakakubali kuiingiza siku hii ndani ya dini yao ya kikristo, ili kuwafurahisha mapagani.

Injili kama ilinyo andikwa na…

Wanatheolojia wanatufahamisha kuwa Biblia imeandekwa kwa uwezo wa roho mtakatifu kwa maana kila kilichokuwemo ndani ya biblia ni kitakatifu na hakina shaka. Historia kama nilivyo eleza hapo juu, haitufahamishi chochote kile kuhusu asili ya biblia ya mwanzo imepotelea wapi. Kilicho patikana ni ile iliyokuwa imeandikwa kwa kigiriki na kisha ikatafsiriwa kwa Kiyahudi na lugha nyinginezo. Ikiwemo lugha maarufu ya kiingereza. Kosa mojawapo kubwa lililo fanyika katika kutafsiri biblia hizi, ni kunakili kutoka biblia zenye asili ya Kiyunani au kigiriki. (Greek). Watarajuni walio tafsiri kutoka asili yake na kupeleka kwa lugha ya kigiriki hawajulikani na wala hatuambiwi ni kina nani. Naogopa kusema kuwa asili ya biblia ilitokana na lugha aliyo zungumza Bwana Yesu kwa kuchelea kutopata ushahidi yakinifu. Kwa maana hiyo basi injili asili haipatikani kwenye biblia hizi tuzijuazo. Kinachopatikan ni kumbukumbu na mifano ya injili iliyochanganyika na maneno ya waandishi. Na ndio maana tukaona injili hizi za kwenye biblia zimebeba vichwa vya maneno yafuatayo… “Injili kama ilivyoandikwa na…” (The Gospel According to…), Kumbukumbu la... nk.

Na ukiangalia madhumuni ya injili ya Luka, hutashindwa kugunduwa kuwa mwandishi alikusudia kumfahamisha Theofilo mambo mambo yaliopitikana zamani. Mambo yaliyompata Bwana Yesu.

Thomas Ward mwandishi wa kikatoliki ameandika kwenye kitabu chake kuwa;
''…Wasomi wa zamani walikuwa na wasi wasi na sura ya mwisho ya injili ya Marko na wengine hawakukubali baadhi ya aya za sura ya 23 kwenye injili ya Luka na wengine hawakubali kabisa sura mbili za mwanzo katika injili hiyi hiyo ya Luka. Kwa sababu sura hizo hazi kuwemo kwenye injili za asili...''

Wataalamu wa mambo ya uandishi, fasihi na lugha wanasema kuwa mtindo wa uandishi wa kiyahudi hautofautiani sana ule wanao tumia waislam. Yaani kuunganisha mapokeo (Isnad). Lakini katika injili hizi nne hatuyakuti hayo. Tumeletewa tafsiri bila asili.

Kwenye Injili ya Yohana sentesi zilizo tumika au aya zinaonyesha kuwa zimeandikwa katika mtindo wa nafsi ya tatu kiambata. (third person). Yohana 1:6 na 1:15, Hii inaonyesha kuwa mwandishi si Yohana bali mtu mwingine kabisa, lakini lengo lake ni kutaka kuinasibisha injili hii na Yohana wa Zebedayo.

Injili hii imeandikwa mnamo mwaka wa 90-100AD. Japokuwa wanatheolojia wanatuambia kuwa mwandishi yawezekana ni Yohana wa Zebedayo au Yohana Mkubwa (John The Elder). Uandishi wa biblia na kukosa kwake kupata asili yake, ndo ulopelekea hata hao walio nakili kutoka kwenye lugha ya kigiriki kuwa na shaka na kuamua kuandika maneno haya yafuatayo… “Injili kama ilivyo andikwa na…

Ukisoma Yohana 21:24 utagunduwa tu kuwa mwandishi alikuwa anataka kumsingizia Yohana ili injili yake ikubaliwe. Wayahudi ni kama Waarabu hawatumii jina moja katika kutaja majina yao. Hawa wana tabia ya kutaja jina lake na baba na hata babu wakati mwingine. Utamaduni ulotumika hapa ni wa kigiriki na si wa kiyahudi.

Askofu Irenaeus wa Lione wa karne ya pili, ambaye aliakuwa mwanafunzi wa Polycarp (69-155AD), Polycarp ambaye inasemekana ni mwanafunzi wa Yohana wa Zebedayo, hakukubali wala kuikataa injili hii kama haliwahi kumsikia Polycarp akisema kuwa hii ni injili ya Yohana. Polycarp alikuwa ni mtu hodari na mahiri sana. Yeye alikuwa ameweza kuihifadhi injili yote kichwani kwake. Kama vile tunavyo hifadhi waislam Qur’an. Irenaeus aliwahi kumsikia Polycarp akisema kuwa;
…nilisikiliza maneno haya kwa uangalifu mkubwa na kwa rehma zake Mungu niliyaandika yote si kwenye karatasi tu bali hata kwenye moyo wangu, na kwa kipindi kirefu nilijenga tabia ya kuyasoma mara kwa mara

Lakini ni kitu cha ajabu sana kwa askofu huyu, kwani hakuwahi kuthibitisha ukweli wa injili hii ya Yohana. Aliogopa kuwa kama akisema kweli kitakacho mpata ni mauti ya kuchomwa moto adharani. Na hii ndio ilikuwa adhabu maarufu kwa wakati huo.

Wanatheologia wanadai kuwa injili ya kwanza kuandikwa ni ya Mathayo. Lakini wataalamu hivi leo wanatuambia injili ya kwanza kabisa ni ya Marko na si Mathayo. Baadae ndo zikafuata injili ya Mathayo na Luka na mwisho injili ya Yohana. Injili hizi hazitokani na wanfunzi wa Bwana Yesu ni mapokeo ya mdomo kwa mdomo tu kutoka kwa watu tofauti tofauti. (Luka 1:1-4).

Injili tatu za mwanzo zina maudhui yanayo fanana, zinaeleza histori matendo na kazi zake Bwana Yesu. Injili ya nne ya Yohana imejikita sana na kutangaza uungu wa bwana Yesu. Kiasi ya kwamba hata wataalamu wa biblia wakaitilia shaka kama tulivyo eleza hapo juu. Wataalamu na wachunguzi wa kijerumani Bwana Karlhudwig Schmidt, Martin Debelius na Puddf Bultmann, ambao walianzisha kitu kinacho itwa uchunguzi makini wa vyanzo vya uandishi wa injili wanasema kwamba injili hizi hazina ushirikiano katika mambo mengi ya msingi. Kuanzia kuzaliwa kwa Bwana Yesu mpaka kunako semakana kuondoka kwake hapa duniani. Injili hizi hazina ushirikiano wa tarehe, muda, na hata mahala. Kila injili inatofautiana na nyingine. Mfano mdogo ni pale aliposurubiwa Nabii Yesu (as). Je ni neno gani la mwisho alilo tamka Bwana Yesu (as). Kabla ajakata roho?

Mathayo na Marko wanakoti maneno kutoka Zaburi 22:2, “…Eloi Eloi lama sabaktan…”, injili ya Luka inasema “…Baba mikononi mwako naiweka roho yangu…”, injili ya Yohana inasema “…imekwisha”.

Grotius msomi maarufu wa enzi zake anasema kuwa Injili ya Yohana ya asili, ilikuwa na sura 20 tu. Sura ya 21 ilikuja kuongezwa baadae na kanisa la Ephosus. Na hata dhehebu la kale la Allogia, kwenye karne ya pili wao hawakuikubali injili hii na kazi zote za Mtakatifu Yohana. Hata waandishi wa kikristo mwanzo hawakukubali aya 11 za mwanzo katika sura ya 8, kwa sababu aya hizi hazipo kwenye biblia ya Syrine Version.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…