Kujaa kwa tumbo,

Masan Ab

Member
Joined
Sep 9, 2016
Posts
37
Reaction score
29
Wakuu,naombeni msaada,tumbo langu limejaa kupita kiasi Leo wiki na siku tatu sasa,
 
Kapime mkuu, utakachogundulika kuwa ndiyo tatizo,rudisha mrejesho
 
Wakuu,naombeni msaada,tumbo langu limejaa kupita kiasi Leo wiki na siku tatu sasa,

Vitu vingine ni vizuri kutangulia hospitali kuliko kuulizia humu jf juu juu namna hii.


Unaweza kukuta una matatizo serious na life threatening condition wewe unazunguka humu jf
 
Wakuu,naombeni msaada,tumbo langu limejaa kupita kiasi Leo wiki na siku tatu sasa,
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…