KERO Kujaza Mabango ndani ya Roundabout kunawapa changamoto Madereva kuona upande wa pili

KERO Kujaza Mabango ndani ya Roundabout kunawapa changamoto Madereva kuona upande wa pili

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Candid Scope

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2010
Posts
11,897
Reaction score
6,925
Manispaa ya Morogoro eneo la mjini mzunguko (roundabout) ilipokuwa stand ya zamani zinapoanzia barabara za:

1. Boma Road
2. Korogwe Road
3. Old Dar es Salaam
4. Barabara iendayo Soko kuu la Kingalu na chuo cha Sokoine

Kuna mabango makubwa yamewekwa ndani ya mzunguko na hivyo kuwa kero kwa madereva kutoona kiendeleacho upande wa pili.

20241016_122427.jpg

Universal traffic regulations hairuhusiwa ndani ya mzunguko kuwepo mabango au vitu vyenye kuzuia kuona uwazi kwa madereva na watu wanaopita kwa miguu.

Sheria zetu za usalama barabarani je zipo tofauti na universal traffic regulations?

PIA SOMA
- Kuhusu matukio mengi ya ajali za barabarani, ukiachana na uzembe wa madereva barabara zetu ni changamoto
 
Manispaa ya Morogoro eneo la mjini mzunguko (roundabout) ilipokuwa stand ya zamani zinapoanzia barabara za
1. Boma Road
2. Korogwe Road
Kuna ofisa wa Halmashauri nilimwambia haya mabango katika junctions na roundabout yanaleta BLIND SPOT kwahio yatasababisha ajali. Akaniuliza blind spot ndio nini?!!! Nikabadili story.
 
Kuna ofisa wa halmashauri nilimwambia haya mabango katika junctions na roundabout yanaleta BLIND SPOT kwahio yatasababisha ajali. Akaniuliza blind spot ndio nini?!!! Nikabadili story.
Bogus bogus ni Huzuni
 
Hiyo ndio Morogoro mkuu, SUA anatangaza mahafali yake ya 44, bado Kuna watu wa manispaa wanahimiza watu kujiandikisha,, yaan ni full vurugu dadeq
 
Back
Top Bottom