Kujaza wanasiasa uwanjani ni mkosi kwa timu ya Taifa

Kuongeza wachezaji wa simba ndiyo walioleta uchuro!

Ona walivyoboronga

 
Hivi ni visingizio visivyo na msingi,kama Timu yenu imecheza hovyo mlitegemea nini?
 
Kisa tumefungwa tu,duh
 
Hiyo ni mara ya pili mara ya kwanza ni muda mrefu kidogo umepita ilikua ni mechi ya Simba sikumbuki walikua wanacheza na nani
 
Rubbish
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…