Reptilia
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 867
- 847
Habarini wadau huko mliko , najua mambo yanakwenda SAKO kwa BAKO kwa upande wenu, Rejea kichwa cha habari hapo juu nilikuwa nahitaji kufaham je vyumba viwil na sebule kwenye msingi itanighalim shingapi ? Kulingana na eneo niliyopo nipo kahama mjin
isije kuwa fundi amenipiga parefu yaani msingi tu amenipiga laki8 dah asee
isije kuwa fundi amenipiga parefu yaani msingi tu amenipiga laki8 dah asee