Kujenga msingi wa nyumba ya vyumba viwili na sebule

Reptilia

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2018
Posts
867
Reaction score
847
Habarini wadau huko mliko , najua mambo yanakwenda SAKO kwa BAKO kwa upande wenu, Rejea kichwa cha habari hapo juu nilikuwa nahitaji kufaham je vyumba viwil na sebule kwenye msingi itanighalim shingapi ? Kulingana na eneo niliyopo nipo kahama mjin
isije kuwa fundi amenipiga parefu yaani msingi tu amenipiga laki8 dah asee
 
hajakupiga sana endapo gharama za wachimbaji ni juu yake pia
 
Hujasema Ukubwa wa Msingi.Ila kama I Kahama amekupiga pakubwa.Fanya hivi:Chukua gharama za Mawe+Silent+Mchanga +Maji kisha zidisha mara 35%.Hizo ni hesabu za Serikali.Haitazidi Laki 3.Kama Una Ramani weka hapa.
 
Hii ni labor charge au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…