BASHEER13
New Member
- Apr 16, 2022
- 4
- 9
Assalaam alaykum wana JF
Mimi ni mgeni nilikuwa nahitaji msaada wenu wenzangu je ili nijenge nyumba ambayo inaendana na yakisasa
Je, naweza kutumia gharama isiyo pungua bei gani na inayozidi kiasi gani napia mwenye ramani ya nyumba mzuri ya vyumba vinne anitumie katika WhatsApp no 0710915908
Pls msipuuze kunipa ushauri namtu mwenye hiyo ramani asipuuze anipatie katika hizo no zangu za WhatsApp.
Mimi ni mgeni nilikuwa nahitaji msaada wenu wenzangu je ili nijenge nyumba ambayo inaendana na yakisasa
Je, naweza kutumia gharama isiyo pungua bei gani na inayozidi kiasi gani napia mwenye ramani ya nyumba mzuri ya vyumba vinne anitumie katika WhatsApp no 0710915908
Pls msipuuze kunipa ushauri namtu mwenye hiyo ramani asipuuze anipatie katika hizo no zangu za WhatsApp.