kujiajiri

kujiajiri

banga

Member
Joined
Jul 14, 2011
Posts
9
Reaction score
9
Hallow great thinkers.
natamani kuanza biashara ya kilimo cha matunda na ufugaji wa kuku chotara. naomba yeyote mwenye relevant information juu ya hili aniitaarifu kupitia beatricezuberi@yahoo.com.
asanteni.
 
sio safe sana kutoa e-mail yako huku JF beatrice,pitia post za humu ndani ya forum hii utafute post yangu kuhusu kuku mmoja akuzalishie sh milioni moja..naamini itakusaidia
 
Hallow great thinkers.
natamani kuanza biashara ya kilimo cha matunda na ufugaji wa kuku chotara. naomba yeyote mwenye relevant information juu ya hili aniitaarifu kupitia beatricezuberi@yahoo.com.
asanteni.

Hata mimi hivi karibuni nimepost thread ya kuomba ushauri wa kuanzisha biashara ya kilimo, kwa vile tuna nia moja basi mimi na wewe tunaweza kuwa wajisirimali wa kuchangiana mikakati na michakato
 
Hallow great thinkers.
natamani kuanza biashara ya kilimo cha matunda na ufugaji wa kuku chotara. naomba yeyote mwenye relevant information juu ya hili aniitaarifu kupitia beatricezuberi@yahoo.com.
asanteni.

HONGERA SANA KWA KUTAKA KUJIAJIRI MKUU

MIMI NAKUSHAURI UFANYE YAFUATAYO
1. KWENYE KILIMO CHA MATUNDA
- Hakikisha matunda unayo lima unafanya packeging mwenyewe ndo uuze
- Usilime then ukasubiria madalali wakutafutie soko kwa bei yao
- Unaweza fanya simple packeging na ukawa unauza hapo utakuwa umeyaongezea sana thamani matunda yako na mtaji ukikuwa unaweza hata nunua yale magari ya kubebea vitu vya baridi kama samaki ukawa unabebea matunda yako yaliyo pakiwa na kuuza hata mwanza kama wewe uko dar
box2.jpg


ukipaki dizaini hiyo hakika utakuwa unafanya biashara iliyo enda shule, na utajitofautisha na wenzako

MatlSci_img055.jpg

Au dizaini hii,

2. Kuhusu kuku
Hta kwenye kuku jitahidi sana kufuga na ku process mwenyewe, unaweza anza kidogo kidogo, haya maswala ya kufuga tu na kusubiri wateja waje kununua ni ngumu sana

- Razima ujitofautishe na wenzako, ni kwa kivipi wateja watakuja kununu kuku wako na wasununue za wenzako? kuna kitu gani cha ziada kwenye kuku wako?
 
Back
Top Bottom