Kujiamini - Atletico Madrid kutwaa kombe uefa champions League .

Kujiamini - Atletico Madrid kutwaa kombe uefa champions League .

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kufanya mahojiano maalum na mchezaji wa simba aitwaye Joji Lukas , pamoja na ukweli kwamba mchezaji huyu hakuwa maarufu sana lakini alikuwa ni muhimu sana , hasa kwenye kuokoa jahazi lililozama , yaani kwenye kufunga magoli muhimu ya timu yake .

Tuliongea mengi lakini kuna moja lililonigusa sana !

Alisema hivi , " MPIRA NI SAWA NA BAISKELI , UKIUJUA UMEUJUA " mwisho wa kunukuu .

Kiukweli ukiziangalia timu hizi mbili zilizoingia fainali bila kuweka jicho la husda utagundua kwamba Atletico wanaujua mpira kuliko Real , hivyo ni lazima wabebe ndoo .

.......Itaendelea .......
 
Atletico Kumfunga Real Madrid itakuwa sawa na ndoto ya mchana kutimia, ukizingatia na ugumu na uzoefu wa Real Madrid walio nao kwenye UCL.
 
Atletico Kumfunga Real Madrid itakuwa sawa na ndoto ya mchana kutimia, ukizingatia na ugumu na uzoefu wa Real Madrid walio nao kwenye UCL.
 
Huyo George lucas"gazza"hakuwa maarufu huyo?hapana labda kama mtu hakuwa mfuasi wa mpira ndo ashindwe kumjua gazza
 
Huyo George lucas"gazza"hakuwa maarufu huyo?hapana labda kama mtu hakuwa mfuasi wa mpira ndo ashindwe kumjua gazza
Hakuwa maarufu kama Zamoyoni Mogella , Damian Kimti , madaraka selemani au Malota soma.
 
Hii game ipo 50/50. Real Madrid wanajivunia forward line yao wakati atletico wanajivuni mabeki wao. Ila kwangu kiroho kinahisi R. Madridi watashinda, ila ningependa Atletico washinde. Wamefanya kazi kubwa. Kuwaondoa Barcelona na bayern, siyo mchezo.
 
Hii game ipo 50/50. Real Madrid wanajivunia forward line yao wakati atletico wanajivuni mabeki wao. Ila kwangu kiroho kinahisi R. Madridi watashinda, ila ningependa Atletico washinde. Wamefanya kazi kubwa. Kuwaondoa Barcelona na bayern, siyo mchezo.
Pole ndugu! Acha utabiri!
 
Utabiri umeenda ndivyo sivyo....pole ndugu.!
 
Back
Top Bottom