Kujiamini katika biashara ndio nguzo kuu

Kujiamini katika biashara ndio nguzo kuu

lorahshop

Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
39
Reaction score
69
Mimi nauza vitu mbalimbli ziko specific nilianza kuagiza agents wakibongo wanaoishi china now naagiza mwenyewe, nauza socks sana tu pea tano(20000) mara nyingi nauzia insta ila nikapenda kutangaza na huku pia!!

Nilichogundua watu wanakatisha tamaa sana iko hivi wewe unavaa socks za 1000 ni wewe ila kuna watu mi nawauzia hizi zangu mtu anachukua box ata 4 kwa wakati mmoja na delivary analipa!!!

Kwa wafanya biashara wadogo kama mm tangazen insta kule bei unapanga wewe na wateja wapo kama wote bidhaa iwe nzuri tu na usitishwe na maneno ya kebehi sijui hizi napata kwa 2000 simamia misimamo yako.

Mimi niligizi pea 50 namaanisha vibox 50 nimeuza ndan ya mwezi na bei yangu ni 20000 na sasa nina mzg mwingine umeingia jana[emoji1488] socks zinalipa vizr mnoo cha msingi kua na msimamo mteja asikuyumbishe.
 
Changamoto za biashara hizo, cha msingi ni kuuwaeleza wateja wako ubora wa bidhaa zako,na utofauti wa bidhaa zako na zingine,ushindani kwenye bussiness ndo unaokujenga na kukufanya kujiamini, labda anayekuambia ananunua kwa buku ni kukupima kujua ubora wa bidhaa zako ili achukue,mteja ni mfalme usitake hisia zako zikakutawala kwenye biashara utapoteza customer,jaribu kutoa utofauti wa bidhaa zako ndo hivyoo tu mkuu
 
changamoto za biashara hizo,cha msingi ni kuuwaeleza wateja wako ubora wa bidhaa zako,na utofauti wa bidhaa zako na zingine,ushindani kwenye bussiness ndo unaokujenga na kukufanya kujiamini,labda anayekuambia ananunua kwa buku ni kukupima kujua ubora wa bidhaa zako ili achukue,mteja ni mfalme usitake hisia zako zikakutawala kwenye biashara utapoteza customer,jaribu kutoa utofauti wa bidhaa zako ndo hivyoo tu mkuu

Katika biashara wateja dizain hiyo wapo, unakuja na kauli ya kusema mtaan kwenu wanauza kama zangu 1000 hapo unania ya kuchukua au kuonyesha zangu hazifai!!! cha msingi cake ni kubwa mno kila mtu ale kipande chake hakuna aliyewahi imaliza ni hayo tuu
 
Niliwah fanya kazi ya Sales and Marketing kwa mwaka mmoja. Na bidhaa zile zilikuwa bei juu kulinganisha na nyingine sokoni.

Ila boss wangu aliniambia kitu ambacho kilinipa nguvu na kunijenga.

Nanukuu.
" Bidhaa zetu ni ghali, ukilinganisha na za huko nje, ila ni bora zaid ya hizo za nje.
Utakutana na wateja, atalinganisha bei. Ww unachotakiwa kufanya ni kusema kwann unauza bei juu zaid ya hao wengine.
Mpe faida zote. Na kama ukiona bado hayuko interested. Basi ww muache na tafuta wateja wengine, kwasababu sio kila mteja ni mteja wako.
Cha muhimu ni kutafuta wateja wako ni watu wa namna gan na ujaribu kuwafikia kwa wingi maana ndio jinsi watanunua wengi".

And His words makes so perfect sense.

Kama mjasiriamali, ni jambo la kujua

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Wateja wengine vichefuchefu. Uko Katavi unauza mashati yako anatokea mteja anasema unauza elfu 25 mbona Kariakoo Dar elfu 15, jibu ni moja tu nenda Kariakoo achana na mimi.

Au umefungua mgahawa wako Dar sahani ya wali unauza 2500 anatokea jamaa anasema kule kwetu Kyela sahani ya wali ni 1000...jibu ni moja nenda kale Kyela
 
Wateja wengine vichefuchefu. Uko Katavi unauza mashati yako anatokea mteja anasema unauza elfu 25 mbona Kariakoo Dar elfu 15, jibu ni moja tu nenda Kariakoo achana na mimi.

Au umefungua mgahawa wako Dar sahani ya wali unauza 2500 anatokea jamaa anasema kule kwetu Kyela sahani ya wali ni 1000...jibu ni moja nenda kale Kyela

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usipo jiamin nakujua nn unataka kwenye biashara yako utayumbishwa na mtaji umejipinda kutafuta ila kwenye kuuza upangiwe na mteja mmoja wakati kuna kumi wanakwambia tuletee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usipo jiamin nakujua nn unataka kwenye biashara yako utayumbishwa na mtaji umejipinda kutafuta ila kwenye kuuza upangiwe na mteja mmoja wakati kuna kumi wanakwambia tuletee
Page yako inaitwaje kule insta mkuu?
 
Back
Top Bottom